Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Amini utakavyo amini shauri yako Utajibeba mwenyewe...................................ushirikina on work.
[emoji106]pole sana mkuu,
Familia yenu,ichunguze mtakuwa na history ya magonjwa ya akili,
kama alivuta bangi zamani,hii sio sababu ya yeye kugeuka kichaa sasa hivi,
ni kwamba ame go through stressful events hivi karibuni,ambavyo vimetrigger huu ugonjwa,
kuna kitu kinaitwa 'epigenetics' which is genes and environment,vinaplay part kwenye huu ugonjwa.
Mpeleke hospital ya vichaa,huku ukiangalia jinsi ya ku adjust maisha yake akitoka hospital,mfungulie hata kiduka awe busy.ukiwa occupied and happy with your life,huumwi,ingawa saa nyingine,ukiumwa it means unahitaji life medication.
Kuna Mzee mwanaye alikuwa teja, siku kazima alimbeba akampeleka mochwari akawapa hela wamuweke mwanae katikati ya maiti wa ajari. Mshikaji napoandika hapa ni Mchungaji.Ninakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bangi isihusishwe kwenye mambo ya kijinga...
Ndugu yenu ndiyo kamfanya kuwa ndondocha
Mie mwenyewe ningekuwa chizi tayari.Tembeeni hapo waswahili wametumia bange kufanikisha mambo yao.......
Kama ndio ingekuwa hivyo basi Jamaica ndio ingekuwa na vichaa wengi zaidi duniani......
Aiss naikumbuka hadithi ya Adili na nduguzeNinakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.
Nani atakuwa tayari kujifungia chumbani na kichaa [emoji15]Bibie unacheke nimetoa dawa pasipo na malipo?
Njoo pmWakuu.
Kaka yangu ni kichaa fulani, alikula msuba(bangi) nyingi sana zamani,mm nikiwa mdogo ,bila kazi ya kipato.
Kaka yangu ni nguzo ya Taifa na ni msaada mkubwa sana.
Nifanyeje kumtibu?Kama kuna dawa au chochote naomba niambiwe. Siwezi kumwacha kaka.
Asante.
Hahahàaaaaa wewe ndio Umenifanya nicheke zaidiNani atakuwa tayari kujifungia chumbani na kichaa [emoji15]
Sent from my TV
Nani atakuwa tayari kujifungia chumbani na kichaa [emoji15]
Sent from my TV
Duh!!!Kuna Mzee mwanaye alikuwa teja, siku kazima alimbeba akampeleka mochwari akawapa hela wamuweke mwanae katikati ya maiti wa ajari. Mshikaji napoandika hapa ni Mchungaji.
Washirikina bwanaNinakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.
Hiyo pia ni dawa hawa wateja wanaovuta bangi na kuwa wendawazimu ni wana matatizo ya Saikolojia ya maisha ndio inayo wafanya wawe hivyo sio ugonjwa bali ni maisha magumu watu wana amuwa kuwa wateja na kuvuta bangi na madawa ya kulevya ukitumia njia kama ya kwako na njia ya kwangu wanapona haraka. Kuliko kuwapa Ma-vidonge watakula Vidonge na kupona hawaponi.Kuna Mzee mwanaye alikuwa teja, siku kazima alimbeba akampeleka mochwari akawapa hela wamuweke mwanae katikati ya maiti wa ajari. Mshikaji napoandika hapa ni Mchungaji.
Ukiamini Ushirikina kivyako utajibeba mwenyewe.................Washirikina bwana
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app