MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
Habari wajumbe natumaini nii wazima wa afya.
Nikienda kwenye mada moja kwa moja nilikuwa napenda kuuliza kuhusu mkoa wa Njombe maana mimi sijawahi kufika wala kupawaa ila kwa siku ya leo nimepokea simu na swali nikaitikia sema nikashindwa toa jibu.
MASWALI YENYEWE NI:
1. Kweli Njombe ina ardhi nzuri ya kilimo?
2. Njombe kuna kilimo kizuri cha zao gani?
3. Njombe nasikia titiki lina kubali sana?
4. Njombe mashamba ni bei rahisi?
5. Njombe mashamba yao hasa wanalimia trekta au mikono.
6. Kutoka DOM mpaka NJOMBE ni kiasi gani?
7. La mwisho ni kujua gharama za maisha kwa chumba na vyakula na upande wa biashara.
Ni hayo maswali ndio niliulizwa kwa siku ya leo kama kweli unafahamu vizuri kuhusu njombe ningependa sana kupata majibu utakuwa umenisaidia sana.
NA KWAKUWA NJOMBE INA MAENEO TOFAUTI NINGEPENDA UNIELEZEE KWAMAENEO HUSIKA KUTOKANA NA HAYO MASWALI KAMA UNA FAHAMU KIUNDANI
Nikienda kwenye mada moja kwa moja nilikuwa napenda kuuliza kuhusu mkoa wa Njombe maana mimi sijawahi kufika wala kupawaa ila kwa siku ya leo nimepokea simu na swali nikaitikia sema nikashindwa toa jibu.
MASWALI YENYEWE NI:
1. Kweli Njombe ina ardhi nzuri ya kilimo?
2. Njombe kuna kilimo kizuri cha zao gani?
3. Njombe nasikia titiki lina kubali sana?
4. Njombe mashamba ni bei rahisi?
5. Njombe mashamba yao hasa wanalimia trekta au mikono.
6. Kutoka DOM mpaka NJOMBE ni kiasi gani?
7. La mwisho ni kujua gharama za maisha kwa chumba na vyakula na upande wa biashara.
Ni hayo maswali ndio niliulizwa kwa siku ya leo kama kweli unafahamu vizuri kuhusu njombe ningependa sana kupata majibu utakuwa umenisaidia sana.
NA KWAKUWA NJOMBE INA MAENEO TOFAUTI NINGEPENDA UNIELEZEE KWAMAENEO HUSIKA KUTOKANA NA HAYO MASWALI KAMA UNA FAHAMU KIUNDANI