Msaada Kati ya Toyota Platz, Betlta na Vitz

Msaada Kati ya Toyota Platz, Betlta na Vitz

Olsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
466
Reaction score
273
Habari Wakuu,

Mimi sio mzoefu sana na sjui chochote kuhusu Magari hivyo ninaomba kuuliza kati ya Toyota Belta,Toyota Platz na Toyota Vitz zote zenye engine ya 2NZ(1290cc) ipi inafaa zaidi kwa kuangalia vigezo kama ulaji wa Mafuta,upatikanaji wa spares na uimara?

Asanteni
 
Siyo vizuri kuifananisha Vits na hizo takataka nyingine! Tena uipate Vits yenye manual gear box! Dah! Unaweza kuhisi unamiliki VX/V8 vile. [emoji849]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Seriously!?
 
Habari Wakuu,

Mimi sio mzoefu sana na sjui chochote kuhusu Magari hivyo ninaomba kuuliza kati ya Toyota Belta,Toyota Platz na Toyota Vitz zote zenye engine ya 2NZ(1290cc) ipi inafaa zaidi kwa kuangalia vigezo kama ulaji wa Mafuta,upatikanaji wa spares na uimara?

Asanteni
Zote ni nzuri tu. Mtu ambaye hajawahi kununua au kumiliki gari utamuona ana disi sana.

Ni aidha wewe aina fulani huipendi na unapenda aina nyingine lakini sio kuponda eti ile ni gari gani, ile takataka. Ukiona hivyo huyo hajawahi kununua gari.
 
Back
Top Bottom