msaada katika hili tafadhali

msaada katika hili tafadhali

gashambala uwezo

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
485
Reaction score
67
habali wan Jf , mimi na mwenzangu ,
tumekuwa tukitumia uzazi wa mpango kwa njia ya kalendar njia hii tuliianza tangu mwaka jana desemba
sasa basi katika maelekezo tuliyopata , njia hii inafaa sana kwa mwanamke/biti mwenye mzunguko wa siku
katika ya 26na 32.

ndipo njia hii inafaa, na endapo mzunguko ukiwa zaidi ya 32 ni vyema kutumia njia nyingine, inaitwa cyle beads , kwa bahati mbaya kabisa njia hii hatukuweza kuielewa vizuri.mwenye kujua zaidi atusaidie.


mwezangu amepata hedhi leo tar 15/3 na ya mwezi uliopita ilikuwa tarehe 11/2 sasa basi tukihesabu hapa
tunapata siku 33, ina maana ile njia hafai tena na mubadala wake ni cyle beads km nilivyosema awali kuwa
njia hii hatukuwaza kuielewa vizuri,

msaada p'se tuepuke mimba katika kipindi hiki ambacho hatuko tayari kupata mtoto

asante.
 
Usijizonge mkuu!
Mtu wako hata kama anamzunguko wa siku 40 or 18, chakufanya ni kupiga hesabu kinyumenyume!
Siku ya 15 kabla ya kuanza kublid ndio siku hatari = siku anayoweza kushika mimba!
Kwa kuondoa usumbufu, hiyo siku ya 15 kabla ya kublidi, engeza na siku 3, yani siku 2 kabla ya siku ya 15 na siku 1 baada ya siku ya 15!
Hapo utapata jibu kuwa ni siku 4 za hatari! = siku ya 13, 14, 15 na 16!
 
Usijizonge mkuu!
Mtu wako hata kama anamzunguko wa siku 40 or 18, chakufanya ni kupiga hesabu kinyumenyume!
Siku ya 15 kabla ya kuanza kublid ndio siku hatari = siku anayoweza kushika mimba!
Kwa kuondoa usumbufu, hiyo siku ya 15 kabla ya kublidi, engeza na siku 3, yani siku 2 kabla ya siku ya 15 na siku 1 baada ya siku ya 15!
Hapo utapata jibu kuwa ni siku 4 za hatari! = siku ya 13, 14, 15 na 16!

Jf ni kama maji katika maisha ya binadamu

ninakushuru
 
Back
Top Bottom