Habari wana JF wenzangu,
Naomba msaada nimekuwa na tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa ( Unyeo/ ------) kila ninapoenda kujisaidia ila hapaumi wala nini..!! Nimeenda hospital Burhan na Hindu Mandal wakanipa dawa ya tube ambayo ni cream kwa ajili ya kuingiza sehemu husika mara 3 kwa siku, lakini naona tatizo haliishi. Plz naomba msaada maana linanichanganya sana jamani.
Nawasilisha.