Msaada katika hili

Ngondombole

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
646
Reaction score
184
Habari wana JF wenzangu,

Naomba msaada nimekuwa na tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa ( Unyeo/ ------) kila ninapoenda kujisaidia ila hapaumi wala nini..!! Nimeenda hospital Burhan na Hindu Mandal wakanipa dawa ya tube ambayo ni cream kwa ajili ya kuingiza sehemu husika mara 3 kwa siku, lakini naona tatizo haliishi. Plz naomba msaada maana linanichanganya sana jamani.
Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…