Msaada katika hili

Msaada katika hili

Ngondombole

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
646
Reaction score
184
Habari wana JF wenzangu,

Naomba msaada nimekuwa na tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa ( Unyeo/ ------) kila ninapoenda kujisaidia ila hapaumi wala nini..!! Nimeenda hospital Burhan na Hindu Mandal wakanipa dawa ya tube ambayo ni cream kwa ajili ya kuingiza sehemu husika mara 3 kwa siku, lakini naona tatizo haliishi. Plz naomba msaada maana linanichanganya sana jamani.
Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom