Ndugu yangu, kama wamekupa Anti-Haemorrhoids wakati huna uvimbe wowote na hawajafanya diagnosis ya kueleweka bado si msaada sana. Kama nilivyokushauri mwanzo nenda hosp kubwa wakufanyia uchunguzi mkubwa. Kuna vipimo kama colonoscopy vinaweza kutumika kujua ukubwa wa tatizo lako na kisha kupewa dawa sahihi.