Ngondombole
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 646
- 184
Habari wana JF wenzangu,
Kwanza samahani kwa kutumia jukwaa ambalo sio sahihi lakini naona litanisaidia zaidi maana watembeleaji wake ni wengi.
Naomba msaada nimekuwa na tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa ( Unyeo/ ------) kila ninapoenda kujisaidia ila hapaumi wala nini..!! Nimeenda hospital Burhan na Hindu Mandal wakanipa dawa ya tube ambayo ni cream kwa ajili ya kuingiza sehemu husika mara 3 kwa siku, lakini naona tatizo haliishi. Plz naomba msaada maana linanichanganya sana jamani.
Nawasilisha.
Kwanza samahani kwa kutumia jukwaa ambalo sio sahihi lakini naona litanisaidia zaidi maana watembeleaji wake ni wengi.
Naomba msaada nimekuwa na tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa ( Unyeo/ ------) kila ninapoenda kujisaidia ila hapaumi wala nini..!! Nimeenda hospital Burhan na Hindu Mandal wakanipa dawa ya tube ambayo ni cream kwa ajili ya kuingiza sehemu husika mara 3 kwa siku, lakini naona tatizo haliishi. Plz naomba msaada maana linanichanganya sana jamani.
Nawasilisha.