mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Habari waungwana.
Niko na mjomba wangu ana umri wa miaka 17 wa kiume kajenga mahusiano na msichana alie na umri sawa na huo maana wako darasa moja.
Jana jioni mtoto wa kike alikamatwa na barua iliotoka kwa mwanume ambaye ndio huyo mjomba wangu ya mahaba nadhani wengi wenu mutakumbuka mapenzi ya shule yalivyo mawasiliano ni barua.
Baaada ya kuonekana na barua wazeee wake wakamgombeza na kumpiga huku wakimuambia kua kuna simu ilipotea inaonekana yeye ndio kaiba binti alikubali kweli na kusema kua amempa huyo mjomba wangu kisha binti katoroka kwao toka jana hadi sasa hajarudi na hivi sasa wazee wameamua kutoa taarifa polisi na ikabidi aitwe dada angu na mwanawe waende kituoni kwa mahojiano.
Mtoto wa kiume alipoulizwa kua jeee kapewa simu na huyo bint anasema nikweli alipewa na ameshaiuza kitambo?
Jeee hapa sheria inakuwaje kwa huyu mwanaume na jeee utetezi wake utakuaje?
Niko na mjomba wangu ana umri wa miaka 17 wa kiume kajenga mahusiano na msichana alie na umri sawa na huo maana wako darasa moja.
Jana jioni mtoto wa kike alikamatwa na barua iliotoka kwa mwanume ambaye ndio huyo mjomba wangu ya mahaba nadhani wengi wenu mutakumbuka mapenzi ya shule yalivyo mawasiliano ni barua.
Baaada ya kuonekana na barua wazeee wake wakamgombeza na kumpiga huku wakimuambia kua kuna simu ilipotea inaonekana yeye ndio kaiba binti alikubali kweli na kusema kua amempa huyo mjomba wangu kisha binti katoroka kwao toka jana hadi sasa hajarudi na hivi sasa wazee wameamua kutoa taarifa polisi na ikabidi aitwe dada angu na mwanawe waende kituoni kwa mahojiano.
Mtoto wa kiume alipoulizwa kua jeee kapewa simu na huyo bint anasema nikweli alipewa na ameshaiuza kitambo?
Jeee hapa sheria inakuwaje kwa huyu mwanaume na jeee utetezi wake utakuaje?