Enda Suphai?...Sababu zinaweza kuwa nyingi mno moja wapo ikiwa ni huenda si wewe mwenye shida bali ni Mume wako hana uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito so ni vema muende kwa wataalam wa masuala ya uzazi kwa check-up....Lakini kama uko na mzunguko wa siku 28...Hesabau siku nne za hedhi plus siku 7 za salama hapo huwezi pata ujauzito..Jumla inakuwa siku 11...So kuanzia siku ya 12-13 hapa ukikutana na baba totoo unauwezo wa kupata mtoto wa kike na siku ya 14-16 hapa ukikutana na baba totoo utapata ujauzito pia na kuna uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kiume....So kuanzia siku ya 17 mpaka uje upate hedhi hizo ni siku salama...huwezi pata ujauzito...Hii ni kutokana na experience yangu na imenisaidia kupata mtoto wa kike na wa kiume kwa kufuata utaratibu huu..