--------------------------------------------------------------------------------
Salaam Wakubwa humu jamvini
jamani kuna swala linanisumbua, hivyo naomba michango yenu kimawazo....
eti ni kwa nini baadhi ya shule binafsi nchini zinaendeshwa kama miradi ya kuku, kwani wamiliki wake wanashindwa kuwa na mipango endelevu na taratibu nzuri za kiuendeshaji. taratibu hizo zinaweza kuwa za kifedha, uongozi na utawala ikiwa ni pamoja na utoaji wa maamuzi mbalimbali mazito juu ya hatma ya wanafunzi bila kujali utu.
Mfano hai ni huyu Mrs. Bayi mbaye ni Mke wa Bw. Bayi nani Mwenyekiti wa Bodi ya shule ya sekondari ya Filbert Bayi. Jamani huyu mama amekuwa na mtindo wa kujichukulia mamlaka makubwa mikono mwake kiasi cha kufukuza wanafunzi bila kuzingatia sheria na taratibu mbalimbali.
tafadhali mawazo (ideas) needed
Salaam Wakubwa humu jamvini
jamani kuna swala linanisumbua, hivyo naomba michango yenu kimawazo....
eti ni kwa nini baadhi ya shule binafsi nchini zinaendeshwa kama miradi ya kuku, kwani wamiliki wake wanashindwa kuwa na mipango endelevu na taratibu nzuri za kiuendeshaji. taratibu hizo zinaweza kuwa za kifedha, uongozi na utawala ikiwa ni pamoja na utoaji wa maamuzi mbalimbali mazito juu ya hatma ya wanafunzi bila kujali utu.
Mfano hai ni huyu Mrs. Bayi mbaye ni Mke wa Bw. Bayi nani Mwenyekiti wa Bodi ya shule ya sekondari ya Filbert Bayi. Jamani huyu mama amekuwa na mtindo wa kujichukulia mamlaka makubwa mikono mwake kiasi cha kufukuza wanafunzi bila kuzingatia sheria na taratibu mbalimbali.
tafadhali mawazo (ideas) needed