Msaada kazi ya udereva bodaboda

Msaada kazi ya udereva bodaboda

Joined
May 23, 2024
Posts
22
Reaction score
12
Habari wakuu,

Mimi ni kijana umri miaka 24 mkazi wa dar mtaa wa external manispa ya ubungo,natafuta KAZI ya udereva boda boda iwe ya mkataba au daywaka ,namba 0785598033, ila leseni sina japo ni mzoefu na natarajia nitakata mwezi ujao
 
Back
Top Bottom