God knows
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 276
- 173
Habari wadau,
Naombani msaada katika hili.
Kama nilimkopesha mtu hela by word of mouth bila kuandikishana popote na sasa ananizungusha kulipa, je naweza kumfungulia kesi ya madai?
Nilifanya bank transfer ila hatuna mkataba wala mashahidi. Ilikuwa ni kati yetu wawili tu.
Naombani msaada katika hili.
Kama nilimkopesha mtu hela by word of mouth bila kuandikishana popote na sasa ananizungusha kulipa, je naweza kumfungulia kesi ya madai?
Nilifanya bank transfer ila hatuna mkataba wala mashahidi. Ilikuwa ni kati yetu wawili tu.