Wadau,
Katika kujikwamua na hali mbaya ya kiuchumi, nimehamua kufungua biashara jijini Arusha eneo la sanawari. Tatizo ni kwamba eneo nililopata liko kwenye makazi ya watu. Nimeongea na balozi ananiambia kuna vikao inabidi vikae sijui kujadili na milolongo mingine mingi tuu na kwamba inabidi nionane na watu chungu nzima.. Sasa mimi sio mkazi wa Arusha huwa nakuja tu na kuondoka na muda wangu nimchache.
Wakuu, naomba kama kuna mtu anaefahamu ni nani naweza "kumuona" hapa Arusha ili nipate msaada wa kuweza kupata vibali na vitu vingine ili nianze biashara mara moja! Ntashukuru sana
Katika kujikwamua na hali mbaya ya kiuchumi, nimehamua kufungua biashara jijini Arusha eneo la sanawari. Tatizo ni kwamba eneo nililopata liko kwenye makazi ya watu. Nimeongea na balozi ananiambia kuna vikao inabidi vikae sijui kujadili na milolongo mingine mingi tuu na kwamba inabidi nionane na watu chungu nzima.. Sasa mimi sio mkazi wa Arusha huwa nakuja tu na kuondoka na muda wangu nimchache.
Wakuu, naomba kama kuna mtu anaefahamu ni nani naweza "kumuona" hapa Arusha ili nipate msaada wa kuweza kupata vibali na vitu vingine ili nianze biashara mara moja! Ntashukuru sana