Mimi nimekuwa nikisumbuliwa na kichomi takriban wiki ya pili sasa nimetumia pain killers za kutosha ila napata nafuu ya muda mfupi tu tatizo linarud
Ni upande wa kulia chini ya mbavu had karb na mgongoni
Je, nitumie dawa gan labda? Nisaidie ndg yangu Mtanzania mwenzio nateseka
Ni upande wa kulia chini ya mbavu had karb na mgongoni
Je, nitumie dawa gan labda? Nisaidie ndg yangu Mtanzania mwenzio nateseka