Msaada kidogo jamani..........

Je mtoto wa miaka 10 akikualiza watoto wanatokaga wapi? Utajibu nini??:A S-baby:
Kama ni wa kike mda wake umekaribia, mwambie ukweli. Ila kama wa kiume basi mzuge kwanza lakini pia hata wa kike punguza ukali wa maneno, kwa mfano watu wakifunga ndoa Mungu anawabariki kwanza ndo wanapata mtoto, na ili upate mtoto usikaribiane na mtu wa jinsia yako maana utapata ukimwi.
Vitu kama hivyo nahisi ni njia rahisi zaidi
 
Je mtoto wa miaka 10 akikualiza watoto wanatokaga wapi? Utajibu nini??:A S-baby:
halafu kama ni wa kike, ni mda mzuri wa kumtahadharisha na wanaume fataki, kukaa sehemu hatarishi mf. vyumba vya wavulana, kutembea usiku kuwa pia kunaweza kuleta madhara ya magonjwa.
Yaani mpe kuwa asipofikia mazingira hayo, atafunga ndoa na kupata mtoto, ila akipitia mazingira ya kukaribiana na wanaume kabla ya ndoa anapata mimba bila kusema kuhusu kufanya mapenzi. mweke tu awakimbie wanaume kukaribiana nao sehemu za hatari na awasilkize wazazi.
Yaani mtoto huyo ndo mda wa kumwogopesha na mapenzi
 
Orait Orait mnaongelea nini hapa, Ohooo!!! I see watoto wanapotoka simple question, for a simple answer wakati mkiwa mna du ze nid ful praktikale ndio muda muafaka wa yeye kujua alitokea huko huko.
 
Orait Orait mnaongelea nini hapa, Ohooo!!! I see watoto wanapotoka simple question, for a simple answer wakati mkiwa mna du ze nid ful praktikale ndio muda muafaka wa yeye kujua alitokea huko huko.

mmmmmmmmmhhhhhhhhhhhh.
 
mwanangu wa miaka mitano ana maswali balaaa na ukimjibu anauliza swali juu ya swali usipomjibu atamwambia kila mtu eti nimemuuliza mama hivi ajui kwani ni vipi wewe unajua yani atahangaika mpaka aujue ukweli, alishaniuliza hilo swali akiwa 3yrs nikamjibu na nilikuwa mjamzito nikamwambia huku tumboni kwamngu kuna mtoto ambaye ni mdogo wako akaniuliza kaingiaje nikamwambia tuliomba sana mungu kanisani mimi na dady mungu ndio akamweka huku tumboni kwangu. mtoto akicheza namuambia njoo umuone mdogo wako anaruka basi anafurahi huyo akaawaambia mpaka teachers wake mama yake anamtoto tumboni, kashehe mtoto alipozaliwa alikuwa anatake apaone hapo waliponichana mtoto akatoka nikawa nampotezea mpaka kasahau, mtoto siku moja akawa analia halafu kuna wageni si akaropoka, "acha kuliaaa tutakurudisha tumboni wewe shauri yako" wageni wote mmhhhhhhhhhhhh
 

hahahahahah kwa kweli umenichekesha sana....... mmhhhhh asante sana yaani watoto wanamaswali sana siku hizi kupita kiasi..... nway hongera sana na mwanao..... na asante sana kunipa hii story..:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…