Remedies gan anaweza akapata?Fungua kesi ya madai kwa kuvunja makubaliano ya mkataba
Jamani Kuna mtu nilifanya nae biashara ya kuumuuzia gari ndogo akatoa fedha nusu na makubaliano kumaliza iliyobaki baadae, but, MDA umepita zaid ya miezi kadhaa kinyume na makubliano na ameanza viswahili,
Mkataba haujatekelezwa kama ulivyo pangwa
Je sheria inatoje msimamo wa MTU ka huyu!!!!