Habari zenu wanajukwaa, kuna kijana anahitaji kazi katika maduka ya jumla jumla yanayouza kati ya vitu vifuatavyo
1)Vifaa vya umeme
2)Machines mbali mbali.
Anapatikana Dar.
Elimu yake ni kidato cha sita, ana nida na ana leseni ya udereva anaweza kuzungumza English kwa ufasaha na anauzoefu wa biashara kidogo.
Kwa atakaekua na uwezo wa kumfanikishia adhma yake au kumuelekeza wapi anaweza kufanikiwa katika hilo analohitaji amtafute kwa namba za simu 0750323091.
1)Vifaa vya umeme
2)Machines mbali mbali.
Anapatikana Dar.
Elimu yake ni kidato cha sita, ana nida na ana leseni ya udereva anaweza kuzungumza English kwa ufasaha na anauzoefu wa biashara kidogo.
Kwa atakaekua na uwezo wa kumfanikishia adhma yake au kumuelekeza wapi anaweza kufanikiwa katika hilo analohitaji amtafute kwa namba za simu 0750323091.