Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
na uzuri wote huo kikojozi!ki ukweli na mimi nilikuwa nikikojoa kitandani.jamani ni aibu,na nilikuwa sifanyi makusudi,unaota una mkojo na uko chooni,mara unaumwaga kitandani.baadae niliacha nilivyofika 14.hakuna dawa yoyote niliyotumia ilitokea tu nikaacha.nina amini baadae ataacha tu.pole yake
unalingia id ya uongo