Msaada:KIKOJOZI

na uzuri wote huo kikojozi!
unalingia id ya uongo
 
Kwato ana maana ni ile ya kutembelea yaani inachomolewa ikiwa nzima nzima wachagga wanaita ni 'mbuachi' kile kigumu cha chini watengeneza makongoro waambie nataka kile cha chini huwa kipo kama kikombe hivi.

Mkuu MziziMkavu,nashukuru kusikia ombi langu na kuja hapa.
Mtoto mwenye ni binti mkubwa, na je hilo kwato la ng'ombe anashika au ananusa? Na vp halitaisha kwa siku 7 au tunakua tunabadilisha?
Natanguliza shukran,
 
Mkuu MziziMkavu,nashukuru kusikia ombi langu na kuja hapa.
Mtoto mwenye ni binti mkubwa, na je hilo kwato la ng'ombe anashika au ananusa? Na vp halitaisha kwa siku 7 au tunakua tunabadilisha?
Natanguliza shukran,
Mkuu Larusai Mux fuata nilivyo kueleza anapanda juu ya mti amevua nguo awepo yeye na mama yake kisha kwato la ng'ombe tia kaa la moto kisha mama yake anampatia hilo kwato la ng'ombe lenye kaa la moto akiwa juu analinusa hilo kwato kisha anakojoa huko huko juu kisha anashuka juu ya mti anavaa nguo zake afanye hivyo hivyo asubuhi na jioni kwato hilo hilo moja kwa muda wa siku 7.
 
Kwato ana maana ni ile ya kutembelea yaani inachomolewa ikiwa nzima nzima wachagga wanaita ni 'mbuachi' kile kigumu cha chini watengeneza makongoro waambie nataka kile cha chini huwa kipo kama kikombe hivi.
Mkuu Mamndenyi Kwato la ng'ombe ni mguu wa ng'ombe jamani ananunuwa mguu wa ng'ombe anatoa kwato lake la chini kwenye huo mguu wa ng'ombe.
 
Last edited by a moderator:
Huyo awekewe poti aka makopo ya kukojolea chumbani aamshwe akojoe mara sita wa usiku mmoja poor toilet training alipokuwq mtoto
 

Mkuu Mzizimkavu bado nashkuru, yaani uchi bila hata nguo!!!!!!!,binti mkubwa atakubali kweli!
! Ila ntawapa huo ushauri mkuu.
 
Mimi nimekojoa mpaka miaka 13!! nilichemshiwa ndevu za mahidi ikashindikana, nikaambiwa kunywa maji ya mchele pia haikusaidia.. Bibi mmoja aliniletea majani yale yanayoota kwa kutambaa kwa jina la kiketu mara yanaitwa RUSALAGASI. Ukingoa unakuwa kama mkanda mrefu tu, nikawa navaa wakati wa kwenda kulala asubuhi navua.. kwa muda wa siku 14 tatizo likaisha kabisaa mpaka sasa.
 
Ushauri wangu ni kumpeleka huyo niece wako kwa daktari afanyiwe uchunguzikamili kuweza kutambua matatizo yake. Kama wakuu wengine walivyochangia katika tatizo hili dawa za ugonjwa huu zinatumika kwa muda mrefu kidogo up to 6 to 12 weeks. Kama ni matatizo ya Misuli ya kibofu cha mkojo (detrusor muscles) anaweza kupewa mchanganyiko wa dawa mbili-imipramine na propantheline.
 

thanx japo sijajua huo mmea best,
 

thax ndugu kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…