mzee wa ngada
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 693
- 293
Usitumie sabuni au kemikali kujusafisha,wengine hutumia dawa ya nywele ya pakti ili kujisafisha na kurudisha uke kwnye ubora wakeKuna siku nilijifuta na taulo gumu baada ya kuoga nilipata michubuko wiki nzima maumivu hivyo huwa naogopa kupagusa au kupaka chochote
Mwenyezimungu anakupenda sana. Ndio maana anakupa onyo kali kila unapofanya uzinifu kama ulivyojizowea. Kwanza acha tabia hio. Kama unamuamini Mungu nitakupa tiba.Inategemea na huyo ninaefanya nae Ila mara nyingi wanatumia robo saa kumaliza
Mibas namuamini Mungu ndio nipe tiba TafadhaliMwenyezimungu anakupenda sana. Ndio maana anakupa onyo kali kila unapofanya uzinifu kama ulivyojizowea. Kwanza acha tabia hio. Kama unamuamini Mungu nitakupa tiba.
Una kapapuchi kadogo sana au?Asante ndugu Ila maandalizi huwa yanakuwepo na maji maji yanatoka pia yani siwi mkavu Ila maumivu na kuchanika kunakuwepo tu
Duu aisee pole sana mdogo wang,jikaze tu uende hospital kuliko kutumia dawa bila maelekezo kutoka kwa daktari, ila mmmmh unaonekana mtamuuuuAsante ndugu nitajaribu kwenda hospital Ila naona aibu kumweleza daktari huku ananiangalia ndo mana nikaandika huku ili Kama kuna dawa nitumie mana ngozi ya mwili wangu wote ni laini sana huwa nahisi na huko ni kulaini pia hivyo Kama kuna dawa ya kupafanya pawe pagumu inaweza kunisaidia
Asante wajinaPole wajina jitaidi umuone Dr
Watu wa aina hii mnashusha sana heshima ya jf.Mkiambiwa msitumie carolite mnakuwa wagumu!!ona sasa mpaka ngozi ya mwili wote ilishalainika.nenda kwa dr. Year.
Asante kwa ushauri pmikeUmefanya mapenzi na watu wengi tofauti na mara zote umechanika! Dah! Ushauri wangu please go and check HIV status coz your problem exposes you very vulnerable to sexual transmitted infections ,go to gynecologist and seek for advice
NOTE:with your condition, don't do unprotected sexual intercourse with anybody unless all you go for HIV negative test result , jali na uyathamini maisha yako binti, vinginevyo ukiendelea basi you will regrets for the rest of your life