Wajuvi wa masuala ya afya na tiba naomba kuuliza tangu napata kujifahamu hadi sasa ni mtu mzima huwa wakati wote najiskia kama ni mtu ambae ana homa.
Lakini nafanya shughuli zote na wala huwezi jua kama najihisi kuugua ila ninapopata maambukizo ya ugonjwa flani kama malaria au typhod nk. huwa dalili za ugonjwa zinakuwa kubwa zaidi na kunifanya kuhutaji tiba.
Lakini ninapomaliza tiba na hata kupima na kujiridhisha kutokuwa na maambukizi ile hali inaendelea ni kama sehemu ya maisha yangu ingawa bado nahisi nina tatizo lipo halijaisha hii hali inaitwaje au inatokana na nn na kama ina tiba naomba kufahamishwa
Lakini nafanya shughuli zote na wala huwezi jua kama najihisi kuugua ila ninapopata maambukizo ya ugonjwa flani kama malaria au typhod nk. huwa dalili za ugonjwa zinakuwa kubwa zaidi na kunifanya kuhutaji tiba.
Lakini ninapomaliza tiba na hata kupima na kujiridhisha kutokuwa na maambukizi ile hali inaendelea ni kama sehemu ya maisha yangu ingawa bado nahisi nina tatizo lipo halijaisha hii hali inaitwaje au inatokana na nn na kama ina tiba naomba kufahamishwa