Mkuu mimi nalimia morogoro wateja wangu ni hapa moro na Dar na Dodoma wew uko wapiMkuu wewe unalimia wapi na wateja wako wako wapi?
Mwezi ujao nataka kuandaa shamba la mboga mboga hekari mbili
Ambalo nataka liwe na mchanganyiko wa mboga zote
Yaani liwe na bamia liwe na hoho liwe na ngogwe(nyanya chungu) hivyo vitu vitatu.
Mimi nipo DSMMkuu mimi nalimia morogoro wateja wangu ni hapa moro na dar na dodoma wew uko wapi
Tutembeleane sasa hivi mimi niko kwenye kupanda yaani nina transplant kwa uzoefu wangu Dar mara nyingi wanaanza kupanda kuanzia miezi ya kati wa 5-6Mimi nipo DSM
Okey sasa mkuu hebu nishauri kwa wazo languTutembeleane sas huvi mimi niko kwenye kupanda yaani nina transplant kwa uzoefu wangu dar mara nyingi wanaanza kupanda kuanzia miezi ya kt wa 5-6
Mimi uzoefu wangu ni kwenye hohoOkey sasa mkuu hebu nishauri kwa wazo langu
Naweza kufanya hivyo na unahisi changamoto ni nini hasa? Target yangu ni hoho,bamia,nyanya chungu na bilinganga ikiwezekana,
Maximum nataka iwe hekari tatu tu
Kwa uzoefu wako itanigharimu kiasi gani bosi mpaka
Ningekufuata PM ila najua wengi wanataka msaada wa kujua gharama hapa so ukiweka wazi sio mbaya sana
Nashukuru sana mkuuMimi uzoefu wangu ni kwenye hoho
Shamaba kukodi sh 100000,mbegu 585000,kuandaa shamba 1250000 ,kupanda vibarua 60000,mafuta kumwagilia 240000,mbolea kupandia 60000,mbolea kukuzia 50000,Mbolea NPK 60000,Mbolea CAN 50000,madawa 250000,palizi 200000, Kijana wa kazi 300000 gharama hizi zinaweza kupunguwa ama kuongezeka kutegemea na mazingira ulipo na gharama hizi ni kwa mtu aliye na vifaa kama water pump mipira ya kumwagilia na pumps za kupulizia dawa NB KWENYE MBEGU BEI INAWEZA KUPUNGUWA MPAKA KUFIKIA TSH 40000 KUTEGEMEA NA AINA YA MBEGU GANI UTAPANADA
Changamoto mkuu ni soko ndy maana tunalima kwa timing mfn ukipanda nyanya ya ikatokea kuanzia mwezi wa 2-4 mara nyingi huwa inabei mfn sasa nyanya debe kuanzia tsh 20000 hoho inayotoka kuanzia mwezi wa 3-7 mara nyingi soko lake halisumbuwi Kwanini hiyo miezi changamoto huwa ni kubwa sana kwa mazao husika ktk kipindi hicho so wakulima wengi hawawezi kupambana na changamoto ktk hiyo miezi hivyo husababisha shortage kubw ktk masoko mengi walio soma uchumi wanajuwa maswala ya demand and supply NB KIPINDI HICHO KADIRIO LA DAWA LINAKUWA JUUOkey sasa mkuu hebu nishauri kwa wazo langu
Naweza kufanya hivyo na unahisi changamoto ni nini hasa? Target yangu ni hoho,bamia,nyanya chungu na bilinganga ikiwezekana,
Maximum nataka iwe hekari tatu tu
Kwa uzoefu wako itanigharimu kiasi gani bosi mpaka
Ningekufuata PM ila najua wengi wanataka msaada wa kujua gharama hapa so ukiweka wazi sio mbaya sana
Mkuu wapi hiyo daaaah big up sana
mbegu gani nzuri ya hoho mkuu?Green capsicum is dorminant in big food stores almost everywhere! Hata Tz sidhani km hizo yellow & red zina soko sana.
Ni km water melons, hizi common ndio zipo kibaoo lakin honey wm ama rock wm sijawahi hata ziona tz zaid ya Nairobi. For the case of business unaweza jaribu😳
mkuu vp unalima hapo?Hivi kwanini huwa mnahangaika kwenda mbali kwenye mashamba ya gharama wakati hapo Rufiji km.170 tu toka mjini kuna maji ya kutosha na bei ya kukodi shamba ni karibu na bure