Cute Msangi
Member
- Apr 11, 2023
- 79
- 226
- Thread starter
-
- #41
Nashukuru mkuu kwa ushauri wakoUshauri wangu ni bora ununue tv mpya,hicho "Kioo" hata ukibadili huwezi kupata ile quality ya picha kama mwanzo ukiachilia mbali gharama za kubadili screen nyingine ambayo kupata og sio rahisi japo watakaotaka kukuuzia watakwambia ni og,
Yangu ni hayo tu,the rest it's up to you.
Taa zishakufa, badilisha.Mimi TV yangu gafra haioneshi kitu inatoa sauti tu sijui ndo kioo kimekufa
Ilikuwa ukutani Nina muda sikuwepo home Kuna mpangaji mwezangu nilimuachia ufunguo kwa ajili ya kuniangalizia usalama ndani kwangu narudi juzi usiku nawasha tv ili badae niangalie mechi ya Simba nakuta kioo kina kleki Kama zote kuwasha ni marangirangi tu uoni kituIlikuwa ukutani au mezani?
Hisense ni nyembamba na nyepesi, kama kuna watoto watundu kuigonga ni chap.
😂😂😂😂 Chogo now daysKuzikomesha hizi flat screen ni bora tuanzishe kampeni ya kurudi kutumia TV za chogo.
😀😀
Kama utakosa kabisa naomba tuwasilianeNiko Songea mkuu tv nilinunua kwenye duka la electronic ata nilivyouliza kuhusu kupata kioo kingine wahafahamu
Ni Samsung dear ina miaka 8Hisense? Ina miaka mingapi
Shukrani ngoja nitafute fundiTaa zishakufa, badilisha.
Duu, Pole sana, jamaa kazingua achangie gharama.Ilikuwa ukutani Nina muda sikuwepo home Kuna mpangaji mwezangu nilimuachia ufunguo kwa ajili ya kuniangalizia usalama ndani kwangu narudi juzi usiku nawasha tv ili badae niangalie mechi ya Simba nakuta kioo kina kleki Kama zote kuwasha ni marangirangi tu uoni kitu
Kwa estimation hizo za bei,Tv nilinunua 650k kwa Bei za mikoani tetesi nasikia kioo ni 400k nilivyouliza kwa fundi
Ungekua dar ningenunua tv samsung mpyaaaa nikuletee kwa hiyo laki 4 nipo nje tz baada ya sku 5 nakua dar km una ndugu dsm au makambako ningempa tv yako anipe helaHabari zenu Wana JamiiForums,
TV yang brand hisence Ina miezi 3 tokea ninunue tatizo ni kioo chake kimevunjika iligongwa na kitu.
Nimefikiria gharama za kununua tv nyingine ni Bora nifanye repair hii tv kubadilisha kioo nahitaji msaada upatikanaji wa kioo kingine na gharama Niko nje ya dar es salaam.
TV hisence inch 43.
Kioo cha tv kukisafirisha ni ghali unless kije kimefungwa kwenye fremKioo Bei yake 400k
Ufundi 30k
Usafirishaji wa kioo kutoka dar ni 20k
Kwa nilivyoambiwa na fundi
Hayo mavioo Zenj nafuu sana,maana kule mizigo mingi ya Tv used inaingoa, changamoto kupata mtu huko.Shukrani ngoja nitafute fundi
Laki 4 brand gani na nchi ngapi?.Ungekua dar ningenunua tv samsung mpyaaaa nikuletee kwa hiyo laki 4 nipo nje tz baada ya sku 5 nakua dar km una ndugu dsm au makambako ningempa tv yako anipe hela
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Fanya cross multiplication u find x utapata bei ya hicho kiooKama Samsung nch 24 kioo chake ni Tsh 120,000
Je Hisense nch 43 kioo kitakuwa Sh ngapi?
Inchi 43 ni samsung au LG nachukulia South africaLaki 4 brand gani na nchi ngapi?.
Kama ni star x check taa zimekufa hizoMimi TV yangu gafra haioneshi kitu inatoa sauti tu sijui ndo kioo kimekufa
Khaaa, ukute aliita mashabiki akaibeba wakaangalizie kwake.....Ilikuwa ukutani Nina muda sikuwepo home Kuna mpangaji mwezangu nilimuachia ufunguo kwa ajili ya kuniangalizia usalama ndani kwangu narudi juzi usiku nawasha tv ili badae niangalie mechi ya Simba nakuta kioo kina kleki Kama zote kuwasha ni marangirangi tu uoni kitu