Mshindo
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 478
- 186
Wadau,Heri ya mwaka mpya!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu:
Katika kuhaha nimekutana na hii kwa website ya Mzumbe Dar campus
Sijaweza kupata namn yeyote ya kupata more info juu ya hiyo. Tafadhali mwenye information na uzoefu kwa hilo la mzumbe au hayo hapo juu, share please!
Naamini JF ni zaidi ya vyanzo vingine vya taarifa sahihi.
Wasalaam!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu:
- Chuo chenye hadhi nzuri (reputable) kinachotoa shahada ya uzamili katika uchumi au inayoelekeana na hiyo
- Chuo kinachotoa shahada hiyo/hizo kama evening programmes (Kiwe Dares salaam)
- Chuo kizuri cha ng'ambo kinachotoa programe hizo kwa distant learning kwa gharama nafuu
Katika kuhaha nimekutana na hii kwa website ya Mzumbe Dar campus
In addition, Mzumbe University Dar es Salaam Campus College has a strong collaboration with University of Bradford where two Master Programmes; MSc. Development Policy and Practice for Civil Society and MSc. Economics and Finance for Development are being jointly offered by University of Bradford together with Mzumbe University. The partneship also extends to the level of staff/students exchange programmes. These two programmes were officially inaugurated by Prof. Joseph Kuzilwa, the Vice Chancellor on 30[SUP]th[/SUP] November 2011 at Dar es salaam Campus College.
Sijaweza kupata namn yeyote ya kupata more info juu ya hiyo. Tafadhali mwenye information na uzoefu kwa hilo la mzumbe au hayo hapo juu, share please!
Naamini JF ni zaidi ya vyanzo vingine vya taarifa sahihi.
Wasalaam!