Msaada: Kipi ni Chuo kizuri kwa Msc. or MA in Economics nikiwa Bongo?

Msaada: Kipi ni Chuo kizuri kwa Msc. or MA in Economics nikiwa Bongo?

Mshindo

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2009
Posts
478
Reaction score
186
Wadau,Heri ya mwaka mpya!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu:


  1. Chuo chenye hadhi nzuri (reputable) kinachotoa shahada ya uzamili katika uchumi au inayoelekeana na hiyo
  2. Chuo kinachotoa shahada hiyo/hizo kama evening programmes (Kiwe Dares salaam)
  3. Chuo kizuri cha ng'ambo kinachotoa programe hizo kwa distant learning kwa gharama nafuu

Katika kuhaha nimekutana na hii kwa website ya Mzumbe Dar campus

In addition, Mzumbe University Dar es Salaam Campus College has a strong collaboration with University of Bradford where two Master Programmes; MSc. Development Policy and Practice for Civil Society and MSc. Economics and Finance for Development are being jointly offered by University of Bradford together with Mzumbe University. The partneship also extends to the level of staff/students exchange programmes. These two programmes were officially inaugurated by Prof. Joseph Kuzilwa, the Vice Chancellor on 30[SUP]th[/SUP] November 2011 at Dar es salaam Campus College.

Sijaweza kupata namn yeyote ya kupata more info juu ya hiyo. Tafadhali mwenye information na uzoefu kwa hilo la mzumbe au hayo hapo juu, share please!
Naamini JF ni zaidi ya vyanzo vingine vya taarifa sahihi.
Wasalaam!
 
Wadau,Heri ya mwaka mpya!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu:


  1. Chuo chenye hadhi nzuri (reputable) kinachotoa shahada ya uzamili katika uchumi au inayoelekeana na hiyo
  2. Chuo kinachotoa shahada hiyo/hizo kama evening programmes (Kiwe Dares salaam)
  3. Chuo kizuri cha ng'ambo kinachotoa programe hizo kwa distant learning kwa gharama nafuu

Katika kuhaha nimekutana na hii kwa website ya Mzumbe Dar campus



Sijaweza kupata namn yeyote ya kupata more info juu ya hiyo. Tafadhali mwenye information na uzoefu kwa hilo la mzumbe au hayo hapo juu, share please!
Naamini JF ni zaidi ya vyanzo vingine vya taarifa sahihi.
Wasalaam!

Mambo vip mkuu? Niamegraduate last month hicho chuo cha bradford university partneship na mzumbe course ya Msc.Economics and Finance for development.
Ni chuo kizuri sana na unapata access nyingi za books na journeys, madarasa yake yanakuwa jioni, assignments zinafanyiwa assesment kwa kutumia turnit kuepuka plagiarism na faida zingine nyingi kama wanazozipata wanafunzi wakisoma vyuo vya ulaya.
Jipange uombe mwakani if Uko interested ,last month wameanza third cohort kusoma.
More info about bradford let's communicate.
 
Asante kwa ushauri mkuu. Nitajaribu kufanya hivyo hasa kwa Mzumbe, maana hiyo ya SUA nahisi itakua ngumu kufanya kwa namna ninayoitaka ya evening programme (unless iwe na distant learning). Hata hivyo naamini maoni na ushauri wa wadau hapa unaweza kuwa bora kuliko hata ule nitakaoupata nikienda pale. Kuna ihwa vini venye zuf mbalimbal hapa,pamoja na unbiased views.

SINA UZOEFU NA MAMBO HAYA ILA KUTOKANA NA TAARIFA ZA HAPA NA PALE, hapo palipokuwa bolded; nadhani kama uko interested na MSc/MA. Economics au inayoelekea na hiyo kwa hapa Tanzania ni vizuri ukatembelea Website ya au kufika kabisa:clap2:Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA):clap2:wanazo programs za/zenye mwelekeo wa Economics like MSc. Agricultural Economics na MSc. Applied Agricultural Economics. Kuhusu Mzumbe-Dar Campus, nakushauri kama upo mjini Dar ni vizuri ukafika kwenye campus husika nadhan utaweza kupata mwanga zaidi kutoka kwa wahusika.
 
Usiumize kichwa , UDSM ni chuo bora Africa.

Wadau,Heri ya mwaka mpya!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu:


  1. Chuo chenye hadhi nzuri (reputable) kinachotoa shahada ya uzamili katika uchumi au inayoelekeana na hiyo
  2. Chuo kinachotoa shahada hiyo/hizo kama evening programmes (Kiwe Dares salaam)
  3. Chuo kizuri cha ng'ambo kinachotoa programe hizo kwa distant learning kwa gharama nafuu

Katika kuhaha nimekutana na hii kwa website ya Mzumbe Dar campus



Sijaweza kupata namn yeyote ya kupata more info juu ya hiyo. Tafadhali mwenye information na uzoefu kwa hilo la mzumbe au hayo hapo juu, share please!
Naamini JF ni zaidi ya vyanzo vingine vya taarifa sahihi.
Wasalaam!
 
Kaka jaribu University of London.Wana offer distance course

Wanatoa Msc Finance (Economic Policy).

Fee ni GBP 9960 kwa course nzima.
 
Shukrani sana mkuu! Maelezo mafupi but jut what I needed! Unavyosema nijipange kuomba mwakani inamaana imeshachelewa taya ri kwa mwaka huu?

Mambo vip mkuu? Niamegraduate last month hicho chuo cha bradford university partneship na mzumbe course ya Msc.Economics and Finance for development.
Ni chuo kizuri sana na unapata access nyingi za books na journeys, madarasa yake yanakuwa jioni, assignments zinafanyiwa assesment kwa kutumia turnit kuepuka plagiarism na faida zingine nyingi kama wanazozipata wanafunzi wakisoma vyuo vya ulaya.
Jipange uombe mwakani if Uko interested ,last month wameanza third cohort kusoma.
More info about bradford let's communicate.
 
Ukitaka kuwa economist mzuri SUA inatosha, kama unataka cheti tu basi Mzumbe ni kwako.
 
Asante kwa ushauri mkuu. Nitajaribu kufanya hivyo hasa kwa Mzumbe, maana hiyo ya SUA nahisi itakua ngumu kufanya kwa namna ninayoitaka ya evening programme (unless iwe na distant learning). Hata hivyo naamini maoni na ushauri wa wadau hapa unaweza kuwa bora kuliko hata ule nitakaoupata nikienda pale. Kuna ihwa vini venye zuf mbalimbal hapa,pamoja na unbiased views.

Kuna jamaa humu alikua anasema anaona aibu kusema ana master ya mzumbe!!! Embu pitia huo uzi naiman haupo mbali....ukiupata changanya na za kwako..
 
University of Dar es Salaam ni Bora kama una lengo la kuelimika, Kama lengo lako ni Matokeo Mazuri kwenye Vyeti vyako Nenda Mzumbe University.
 
Hauko seriouz wewe,yani nondo za uchumi unataka kuzisoma katika mfumo wa distance learning?

Ulishawahi kusoma course gani distance learning? Tatizo una project mazingira ya kibongo bongo na kuhisi distance learning ni ishu. .Usimkatishe tamaa distance learning is ok as long as you get it from accredited colleges. .
 
kama unataka chuo ambacho ni reputable Africa kwa Postgraduate ya Economics (iwe masters au PhD) UDSM ni best.

Ila ujiandae kisaikolojia na muda coz wao hawatoi evening class na masomo yao ni magumu balaa, inabidi uwe na background nzuri ya Economics au Maths. na GPA yako iwe fresh (3.5 and above)

ila kama ni evening class jaribu mzumbe, hiyo kozi yao wakishirikiana na Bradford nackia ni nzuri.
 
Wadau,Heri ya mwaka mpya!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu:


  1. Chuo chenye hadhi nzuri (reputable) kinachotoa shahada ya uzamili katika uchumi au inayoelekeana na hiyo
  2. Chuo kinachotoa shahada hiyo/hizo kama evening programmes (Kiwe Dares salaam)
  3. Chuo kizuri cha ng'ambo kinachotoa programe hizo kwa distant learning kwa gharama nafuu

Katika kuhaha nimekutana na hii kwa website ya Mzumbe Dar campus



Sijaweza kupata namn yeyote ya kupata more info juu ya hiyo. Tafadhali mwenye information na uzoefu kwa hilo la mzumbe au hayo hapo juu, share please!
Naamini JF ni zaidi ya vyanzo vingine vya taarifa sahihi.
Wasalaam!

Mkuu

Jaribu kutembelea University of London External Programmes.

Wanatoa Msc Finance - Economic Policy.

Hii kitu imekaa vizuri.Najiandaa kujiandikisha nikamata cheti cha ukweli.Hii ni kwa distance learning

Vitu vizuri havikosi gharama.Tuition fee ni GBP 9600 kwa course yote.

Ukiwa serious utaweza kumaliza course in 2 yrs but wengine inawachukua miaka 5.

Kazi ni kwako
 
Wadau,Heri ya mwaka mpya!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu:


  1. Chuo chenye hadhi nzuri (reputable) kinachotoa shahada ya uzamili katika uchumi au inayoelekeana na hiyo
  2. Chuo kinachotoa shahada hiyo/hizo kama evening programmes (Kiwe Dares salaam)
  3. Chuo kizuri cha ng'ambo kinachotoa programe hizo kwa distant learning kwa gharama nafuu

Katika kuhaha nimekutana na hii kwa website ya Mzumbe Dar campus



Sijaweza kupata namn yeyote ya kupata more info juu ya hiyo. Tafadhali mwenye information na uzoefu kwa hilo la mzumbe au hayo hapo juu, share please!
Naamini JF ni zaidi ya vyanzo vingine vya taarifa sahihi.
Wasalaam!

Mkuu

Jaribu kutembelea University of London External Programmes.

Wanatoa Msc Finance - Economic Policy.

Hii kitu imekaa vizuri.Najiandaa kujiandikisha nikamata cheti cha ukweli.Hii ni kwa distance learning

Vitu vizuri havikosi gharama.Tuition fee ni GBP 9600 kwa course yote.

Ukiwa serious utaweza kumaliza course in 2 yrs but wengine inawachukua miaka 5.

Kazi ni kwako.
 
Hauko seriouz wewe,yani nondo za uchumi unataka kuzisoma katika mfumo wa distance learning?
Kwa maana hiyo yule mama Mkuya waziri wetu wa fedha na mambo ya uchumi ana kasoro sababu kasoma degree za masafa?
 
Nashukuru kwa michango yote. Bado napokea mingine mipya ili niweze ku-weigh out. Naamini wapo na wengine wanafaidika na michango yenu. Bless you!
 
Back
Top Bottom