Google egusi soup
Na hiyo supu ya ngozi ggl ekpomo soup😛
Waafrika kwa kupenda vyakula vya ajabu: eti supu ya ngozi ya mbuzi!there you areee!!! Asante babukijana!!
Yah ekpomo soup wanaweka pilipili!! Wee ad unajing'ata!!
ukiona hivi ujue alishalishwa na wapopo huyu hiyo misosi,pia ina utamu wake mkuuWaafrika kwa kupenda vyakula vya ajabu: eti supu ya ngozi ya mbuzi!
mzungu jojialeni hii kitu sio ile mataptap ya uswazi mjomba... hii menyu hata oga at the top anaila! ukitest utaniambia!! wacha kabisa:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:Waafrika kwa kupenda vyakula vya ajabu: eti supu ya ngozi ya mbuzi!
SwtsHELOW Jf family..Hi!
-Anaejua jinsi ya kupika kisamvu kama wanachopikaga Wapopo mixing samaki nyama na mengineyo,please msaada.
-Pia anaejua kupika supu ya kipopo ile ya Mbuzi yenye ngozi.
:bored::bored:Naipenda ila wenyewe wachoyo kutoa maujanja.:bored::help:
Waafrika kwa kupenda vyakula vya ajabu: eti supu ya ngozi ya mbuzi!
Mama Swts, mimi siyo msungu. Ila nimeshangaa tu kwa nini ule ngozi wakati nyama zimejaa kia mahali? Au wewe ni Mnigeria??mzungu jojialeni hii kitu sio ile mataptap ya uswazi mjomba... hii menyu hata oga at the top anaila! ukitest utaniambia!! wacha kabisa:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:
hahaha mani acha tuu...nlikula hii kitu kwa mpopo mmoja last weekend aiseeeee..... iyo ngosi sio kama unavowaza...ni laini na huwezi juaaMama Swts, mimi siyo msungu. Ila nimeshangaa tu kwa nini ule ngozi wakati nyama zimejaa kia mahali? Au wewe ni Mnigeria??
@ dotworld.. Asante sanaaa... Yani na jolofy ndani athante mkuu
umejuaje! yani last weekend nilikula ugenini hadi noma! ni tamu hatareee
Mi kuna friend of mine alinisifia kisamvu kilochanganywa na utumbo ila sijajaribu kupika