Vangigula
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 852
- 2,739
Wasalam waungwana na nakutakieni kila lenye kheri kwa mwaka 2023.
Direct kwenye point
Kuna plot tulinunua mkoa mmojawapo wa kaskazini na malipo yalikuwa kwa installments 2.
Baada ya malipo ya awali, ambayo yalikuwa ni kama 2/3 ya malipo yote, tulimuomba mzee aliyetuuzia copy ya hati ya umiliki (umiliki wa kimila na ilitolewa na serikali ya kijiji), akakubali kwa mbinde.
Siku tumeenda kuchukua copy, tulimpitia kwake, then tukaenda nae stationery, tukatoa copy, tukamrudishia. Ila alipotoka pale stationery, yeye alipitilizia msibani na nahisi aliipoteza ile hati huko.
Tarehe ya installment ya pili ilivyofika, kabla ya kumlipa tulimuuliza kuwa atupe hati pamoja na mkataba wa mauziano, akasema hati atatafuta, ila akaprocess mkataba akatupa.
Baada ya kumlipa sasa, kila tukimuuliza anasema ametafuta hajaiona, ila ataendelea kuitafuta. Tulitaka tukirasimishe kiwanja ila sasa:
1. Je, kama kweli hati ya kilmila imepotea, na ndo pekee iliyokuwa inamtambia yeye kama mmiliki halali wa plot, kuna taratibu gani za kufuata ili tubadilishe umiliki toka kwake?
2. Je, naweza pata hati rasmi wilayani bila kuwa na hiyo hati ya kimila? And what are the dangers?
3. Baadae tuliongeza eneo kwa kununua eneo adjacent na lile la mwanzo, ila tunataka hati moja ya eneo lote, la kwanza na la pili, je inawezekana? Na taratibu zake zikoje?
Asanteni
Direct kwenye point
Kuna plot tulinunua mkoa mmojawapo wa kaskazini na malipo yalikuwa kwa installments 2.
Baada ya malipo ya awali, ambayo yalikuwa ni kama 2/3 ya malipo yote, tulimuomba mzee aliyetuuzia copy ya hati ya umiliki (umiliki wa kimila na ilitolewa na serikali ya kijiji), akakubali kwa mbinde.
Siku tumeenda kuchukua copy, tulimpitia kwake, then tukaenda nae stationery, tukatoa copy, tukamrudishia. Ila alipotoka pale stationery, yeye alipitilizia msibani na nahisi aliipoteza ile hati huko.
Tarehe ya installment ya pili ilivyofika, kabla ya kumlipa tulimuuliza kuwa atupe hati pamoja na mkataba wa mauziano, akasema hati atatafuta, ila akaprocess mkataba akatupa.
Baada ya kumlipa sasa, kila tukimuuliza anasema ametafuta hajaiona, ila ataendelea kuitafuta. Tulitaka tukirasimishe kiwanja ila sasa:
1. Je, kama kweli hati ya kilmila imepotea, na ndo pekee iliyokuwa inamtambia yeye kama mmiliki halali wa plot, kuna taratibu gani za kufuata ili tubadilishe umiliki toka kwake?
2. Je, naweza pata hati rasmi wilayani bila kuwa na hiyo hati ya kimila? And what are the dangers?
3. Baadae tuliongeza eneo kwa kununua eneo adjacent na lile la mwanzo, ila tunataka hati moja ya eneo lote, la kwanza na la pili, je inawezekana? Na taratibu zake zikoje?
Asanteni