Mr okra Jefa
Member
- Oct 31, 2016
- 6
- 3
Habari,
Naomba msaada kisheria hili lipoje, mwaka 2020 mwezi wa tano, nilipata ajira katika kampuni moja jijini Dar, nimekuwa nao kwa muda wa miaka 4 mpaka mwaka 2024 mwezi wa 7.
Ile naondoka ndo najua kuna mwamba anatumia cheti changu yupo pori moja hivi na hivyo vyeti alipewa na kampuni yangu na kule yule mwamba anatumia kila details inayonihusu mimi.
Na mpaka sasa hivi naandika haya, huyo jamaa anatumia hivyo vyeti vyangu
Naomba msaada kisheria ipoje na je nianzie wapi katika kudai haki yangu. Ninachoogopa zaidi kwa sasa nilipata kazi serikalini je ikifahamika kuwa vyeti vyangu vinatumika sehemu nyingine itakuwaje kwa upande wangu.?
Asante sana, naomba ushauri wenu wakuu
Naomba msaada kisheria hili lipoje, mwaka 2020 mwezi wa tano, nilipata ajira katika kampuni moja jijini Dar, nimekuwa nao kwa muda wa miaka 4 mpaka mwaka 2024 mwezi wa 7.
Ile naondoka ndo najua kuna mwamba anatumia cheti changu yupo pori moja hivi na hivyo vyeti alipewa na kampuni yangu na kule yule mwamba anatumia kila details inayonihusu mimi.
Na mpaka sasa hivi naandika haya, huyo jamaa anatumia hivyo vyeti vyangu
Naomba msaada kisheria ipoje na je nianzie wapi katika kudai haki yangu. Ninachoogopa zaidi kwa sasa nilipata kazi serikalini je ikifahamika kuwa vyeti vyangu vinatumika sehemu nyingine itakuwaje kwa upande wangu.?
Asante sana, naomba ushauri wenu wakuu