vipi kwa kifo cha mwaka 1998
waweza kufungua kesi ya mirathi
leo?Ni watoto 7wa mama
tofauti,baba mdogo alijichagua
kuwa msimamizi,sisi watoto wa bi
mkubwa tulirithishwa kijijini na
watoto wa bi mdogo mjini
DSM.Kulikuwepo na kiwanja cha
mzee kingine jirani na nyumba va
Dar,dingi mdogo akajimegea
akadai chakwake.
NINACHOKITAKA mali zigawiwe
upya na serikali.
SABABU ZA KUCHELEWA
1.Wadogo zangu wa bimdogo
walikuwa wadogo wanasoma
kupitia kodi ya nyumba,niliona
ningemchangnya bi mdogo.
2.Vitisho vya uchawi kutoka kwa
ndugu.
waweza kufungua kesi ya mirathi
leo?Ni watoto 7wa mama
tofauti,baba mdogo alijichagua
kuwa msimamizi,sisi watoto wa bi
mkubwa tulirithishwa kijijini na
watoto wa bi mdogo mjini
DSM.Kulikuwepo na kiwanja cha
mzee kingine jirani na nyumba va
Dar,dingi mdogo akajimegea
akadai chakwake.
NINACHOKITAKA mali zigawiwe
upya na serikali.
SABABU ZA KUCHELEWA
1.Wadogo zangu wa bimdogo
walikuwa wadogo wanasoma
kupitia kodi ya nyumba,niliona
ningemchangnya bi mdogo.
2.Vitisho vya uchawi kutoka kwa
ndugu.