Msaada kisheria mpangaji mkorofi

Msaada kisheria mpangaji mkorofi

Status
Not open for further replies.

sometimesyes

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2017
Posts
360
Reaction score
288
Habarini wakuu

Naomba msaada kisheria a mawazo badala kuhusu mpangaji wangu,mnamo mwaka Jana kuna kijana alipanga Chumba nyumbani kwangu,mm sikuwepo wakati huo(nilikua mkoa mwingine kikazi)hivyo mke wangu aliniwakilisha lkn alifanya uzembe wa kutomsainisha mkataba yule mpangaji,japo aliwela records pembeni kuwa mkataba wake unaisha may 10 mwaka huu.

Tatizo lililojitokeza ni kwamba tangu January mhusika hajalipa umeme wala maji na tulimvumilia kuwa atalipa kwa sababu alikua analia hali ngumu,na tukawa tumeamua tusirenew mkataba nae tn,lkn cha kushangaza Leo wkt mke wangu hayupo amejidai kuaga kuwa anasafiri,namba zetu anazo lkn ameaga wapangaji wenzie na mkataba unaisha may 10,naomba ushauri wa hatua za kuchukua na hakuna mkataba.
 
Habarini wakuu

Naomba msaada kisheria a mawazo badala kuhusu mpangaji wangu,mnamo mwaka Jana kuna kijana alipanga Chumba nyumbani kwangu,mm sikuwepo wakati huo(nilikua mkoa mwingine kikazi)hivyo mke wangu aliniwakilisha lkn alifanya uzembe wa kutomsainisha mkataba yule mpangaji,japo aliwela records pembeni kuwa mkataba wake unaisha may 10 mwaka huu.

Tatizo lililojitokeza ni kwamba tangu January mhusika hajalipa umeme wala maji na tulimvumilia kuwa atalipa kwa sababu alikua analia hali ngumu,na tukawa tumeamua tusirenew mkataba nae tn,lkn cha kushangaza Leo wkt mke wangu hayupo amejidai kuaga kuwa anasafiri,namba zetu anazo lkn ameaga wapangaji wenzie na mkataba unaisha may 10,naomba ushauri wa hatua za kuchukua na hakuna mkataba.
Mwache akae bwana, Maisha hayana formula hata yeye hapendi kupanga ni hali tu imegoma. Mvumilie Mungu atakulipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu

Naomba msaada kisheria a mawazo badala kuhusu mpangaji wangu,mnamo mwaka Jana kuna kijana alipanga Chumba nyumbani kwangu,mm sikuwepo wakati huo(nilikua mkoa mwingine kikazi)hivyo mke wangu aliniwakilisha lkn alifanya uzembe wa kutomsainisha mkataba yule mpangaji,japo aliwela records pembeni kuwa mkataba wake unaisha may 10 mwaka huu.

Tatizo lililojitokeza ni kwamba tangu January mhusika hajalipa umeme wala maji na tulimvumilia kuwa atalipa kwa sababu alikua analia hali ngumu,na tukawa tumeamua tusirenew mkataba nae tn,lkn cha kushangaza Leo wkt mke wangu hayupo amejidai kuaga kuwa anasafiri,namba zetu anazo lkn ameaga wapangaji wenzie na mkataba unaisha may 10,naomba ushauri wa hatua za kuchukua na hakuna mkataba.
Unafikiri huko anakoenda arudi tena?

Au Ni roho mbaya tu kwako. Wenye nyumba muda mwingine mnazingua. Leo tarehe Ishirini...Bado siku 20 mbele unaanza kulia Lia hapa.
 
Habarini wakuu
Naomba msaada kisheria a mawazo badala kuhusu mpangaji wangu,mnamo mwaka Jana kuna kijana alipanga Chumba nyumbani kwangu,mm sikuwepo wakati huo(nilikua mkoa mwingine kikazi)hivyo mke wangu aliniwakilisha lkn alifanya uzembe wa kutomsainisha mkataba yule mpangaji,japo aliwela records pembeni kuwa mkataba wake unaisha may 10 mwaka huu.
Tatizo lililojitokeza ni kwamba tangu January mhusika hajalipa umeme wala maji na tulimvumilia kuwa atalipa kwa sababu alikua analia hali ngumu,na tukawa tumeamua tusirenew mkataba nae tn,lkn cha kushangaza Leo wkt mke wangu hayupo amejidai kuaga kuwa anasafiri,namba zetu anazo lkn ameaga wapangaji wenzie na mkataba unaisha may 10,naomba ushauri wa hatua za kuchukua na hakuna mkataba.
Uchumi umembana.Mvumilieni.
 
Ndo ttzo la waafrika,mtu akidai chake mnadhani roho mbaya,nakusikitikia.

Siyo tatizo la mwafrika kuna baadhi ya wenye nyumba huwa mpo kama hamjawahi kupita bondeni
Yaani huwa mnajifanya kama maisha yenu yooote mmekuwa kileleni.
Kuna vitu vya kusamehe na wala sijaona ukorofi wake.
Ameona mambo magumu akajikataa kiume.
Watu wanaacha familia itakua chumba.
 
Siyo tatizo la mwafrika kuna baadhi ya wenye nyumba huwa mpo kama hamjawahi kupita bondeni
Yaani huwa mnajifanya kama maisha yenu yooote mmekuwa kileleni.
Kuna vitu vya kusamehe na wala sijaona ukorofi wake.
Ameona mambo magumu akajikataa kiume.
Watu wanaacha familia itakua chumba.
Ungesoma vizuri uzi kabla kukurupuka kuquote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom