JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,114
- 3,541
karibuni wanabodi mnipe msaada wa kisheria.
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.Ikiwa kwa uwezo wa kawaida kabisa nimebaini kuwa mahakama kwa kuelewa au kutoelewa haitendi haki kwa mtuhumiwa, je naweza kuishitaki mahakama hiyo? Wajibu wa awali kabisa wa mahakama ni kutenda haki, hivyo kama mtuhumiwa ametenda kosa la kawaida kabisa, Je mahakama haina uwezo wakumfafanulia mtuhumiwa kama kosa lake linastahili dhamana au halistahili? Kama hali hiyo ikijitokeza, mimi mtazamaji wa pembeni naweza kuifungulia mashitaka mahakama inayotenda hayo?
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.Ikiwa kwa uwezo wa kawaida kabisa nimebaini kuwa mahakama kwa kuelewa au kutoelewa haitendi haki kwa mtuhumiwa, je naweza kuishitaki mahakama hiyo? Wajibu wa awali kabisa wa mahakama ni kutenda haki, hivyo kama mtuhumiwa ametenda kosa la kawaida kabisa, Je mahakama haina uwezo wakumfafanulia mtuhumiwa kama kosa lake linastahili dhamana au halistahili? Kama hali hiyo ikijitokeza, mimi mtazamaji wa pembeni naweza kuifungulia mashitaka mahakama inayotenda hayo?