Nikianza na swali lako la kwanza, sheria ya ushaidi ya Tanzania (Avidence Act Cap 6) kupitia amendment ya kifungu cha 40 inaruhusu ushahid wa kielotronik kutumika ktk mahakama zetu. ushahid huo unaweza ukawa wa saut iliyorekodiwa, picha za kutembea(video) au picha mnato na ujumbe wa maandishi (sms),taratibu zikifuatwa ushahid huo unakubalika mahakaman.Kuhusu swali lako la pili mtu atashitakiwa kwa kosa alotenda kama matumizi mabaya ya ofisi, rushwa/ufisadi, wizi wa mali ya umma nk. Akitiwa Hatiani Adhabu inaweza kuwa kutaifishwa/kufilisiwa mali yake (forfeture), kifungo, faini nk. kuhusu sheria hata penal code cap 16, imetaja adhabu hiyo.
Nikianza na swali lako la kwanza, sheria ya ushaidi ya Tanzania (Avidence Act Cap 6) kupitia amendment ya kifungu cha 40 inaruhusu ushahid wa kielotronik kutumika ktk mahakama zetu. ushahid huo unaweza ukawa wa saut iliyorekodiwa, picha za kutembea(video) au picha mnato na ujumbe wa maandishi (sms),taratibu zikifuatwa ushahid huo unakubalika mahakaman.Kuhusu swali lako la pili mtu atashitakiwa kwa kosa alotenda kama matumizi mabaya ya ofisi, rushwa/ufisadi, wizi wa mali ya umma nk. Akitiwa Hatiani Adhabu inaweza kuwa kutaifishwa/kufilisiwa mali yake (forfeture), kifungo, faini nk. kuhusu sheria hata penal code cap 16, imetaja adhabu hiyo.
Nikianza na swali lako la kwanza, sheria ya ushaidi ya Tanzania (Avidence Act Cap 6) kupitia amendment ya kifungu cha 40 inaruhusu ushahid wa kielotronik kutumika ktk mahakama zetu. ushahid huo unaweza ukawa wa saut iliyorekodiwa, picha za kutembea(video) au picha mnato na ujumbe wa maandishi (sms),taratibu zikifuatwa ushahid huo unakubalika mahakaman.Kuhusu swali lako la pili mtu atashitakiwa kwa kosa alotenda kama matumizi mabaya ya ofisi, rushwa/ufisadi, wizi wa mali ya umma nk. Akitiwa Hatiani Adhabu inaweza kuwa kutaifishwa/kufilisiwa mali yake (forfeture), kifungo, faini nk. kuhusu sheria hata penal code cap 16, imetaja adhabu hiyo.