Habari wakuu.
Naomba kufahamishwa kisheria yafuatayo;
1)Je mawasiliano ya simu yanaweza kutumika kama ushahidi kwa mtuhumiwa aliyetumia simu yake kufanya uhalifu eg kuiba,kutukana?
2)Sheria ipi itasababisha mtuhumiwa kufilisiwa mali zake endapo atapatikana na makosa ya wizi baada ya kuacha kazi?
ASANTENI.
Naomba kufahamishwa kisheria yafuatayo;
1)Je mawasiliano ya simu yanaweza kutumika kama ushahidi kwa mtuhumiwa aliyetumia simu yake kufanya uhalifu eg kuiba,kutukana?
2)Sheria ipi itasababisha mtuhumiwa kufilisiwa mali zake endapo atapatikana na makosa ya wizi baada ya kuacha kazi?
ASANTENI.