SARAS FARMS TANZANIA
Member
- Oct 3, 2016
- 6
- 12
Wadau za Jioni??
Ninatarajia kuagiza Vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile Drip irrigation tapes na fittings zake kama Tape Plugs, PVC offtake, pia Sprinklers etc. Sasa kuna ambae ameshawahi kuagiza hivi vitu ambae anaweza kunisaidia estimates za gharama za TRA, bandari na labda Clearing Agent??
Wengi hupenda kusema kua vifaa vya kilimo havina kodi ya TRA, but ni kodi hasa exactly iliyosamehewa?? Ni Import Duty, Excise Duty, VAT au ipi hasa iliyosamehewa?? Na Port Charges ni kama zipi ambazo zinalipwa kwenye hivi vifaa vya kilimo??
Msaada wenu kwenye hili suala unahitajika, na will be much appreciated wadau. Si wajua tena kilimo ukikifanya kisasa kinalipa zaidi.
Karibuni.
Ninatarajia kuagiza Vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile Drip irrigation tapes na fittings zake kama Tape Plugs, PVC offtake, pia Sprinklers etc. Sasa kuna ambae ameshawahi kuagiza hivi vitu ambae anaweza kunisaidia estimates za gharama za TRA, bandari na labda Clearing Agent??
Wengi hupenda kusema kua vifaa vya kilimo havina kodi ya TRA, but ni kodi hasa exactly iliyosamehewa?? Ni Import Duty, Excise Duty, VAT au ipi hasa iliyosamehewa?? Na Port Charges ni kama zipi ambazo zinalipwa kwenye hivi vifaa vya kilimo??
Msaada wenu kwenye hili suala unahitajika, na will be much appreciated wadau. Si wajua tena kilimo ukikifanya kisasa kinalipa zaidi.
Karibuni.