Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Koz inaitwajeVipi ukisoma mambo mortuary?
Vgezo na ada ipoje?Diploma in Diagnostic radiography
Hii coz ukisoma hata huo ualimu unaachaVgezo na ada ipoje?
Afisa usafirishaji aka bodabodaKama unavojua kusoma ni jambo la muendelezo unapopata fursa soma tu, kama mnavojua mimi ni mwalimu wa ngazi ya digrii katka masomo ya sayansi lakni nataka kuongeza kpato na ujuzi wa kula pesa za mtaani kwahyo nahitaji sana maoni yenu WAKUU
Chuo gani wanafundsha? naona mortuary wanakaaga watu walokata tamaa na maisha kabsaHii coz ukisoma hata huo ualimu unaacha
Na kama upo mjini ndiyo bas tena madili mengi
Nataka koz ya diplomaAfisa usafirishaji aka bodaboda
Mpaka uwe nurse au medical attendant na kozi zake huwa ni za misimu ni adimu kupatikana atazitoa wapi?Vipi ukisoma mambo mortuary?
Si ndo hio, nenda NITNataka koz ya diploma
Mortuary attendantKoz inaitwaje
acha dharau na kazi za watu dogo.Chuo gani wanafundsha? naona mortuary wanakaaga watu walokata tamaa na maisha kabsa
Samahan kaka nipage hata mchongo niwe chawa wako naskia kuna hela sana vbibi vchawi vnaleta sana posho kuchukua mazaga mazaga wanayoyatakaacha dharau na kazi za watu dogo.
kazi naifanya na nina enjoy maisha
Nataka ya diplomaSi ndo hio, nenda NIT
Kwahyo bado ipo au wamesitisha?Mortuary attendant
View attachment 3072054
Hii ilikuwaga 2022 ada yake ilikuwa laki moja na arobaini
Thread 'Natafuta chuo cha usimamizi wa mochwari (mortuary attendant)' Natafuta chuo cha usimamizi wa mochwari (mortuary attendant)Chuo gani wanafundsha? naona mortuary wanakaaga watu walokata tamaa na maisha kabsa
Mkuu ada yake ni moto wa kuotea mbali ni kama milioni mbili + ipo hapo bugando alafu uwe ulifaulu physics ina ushindani balaa kwenue kudahiliwaVgezo na ada ipoje?
Veta nmesoma tangazo lao lakn sjaona mambo ya computer wala tv maintainanceMkuu ada yake ni moto wa kuotea mbali ni kama milioni mbili + ipo hapo bugando alafu uwe ulifaulu physics ina ushindani balaa kwenue kudahiliwa
Ila kama una division one jaribu Benjamin mkapa hospital kuna chuo humo wanaifundisha ila utatuma maombi kupitia NACTE kuanzia mwezi wa 8, 9 au 10 hapo ada ni nafuu tatizo competition na kuingia hapo ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
Diploma yake inaitwa radiology
Degree yake inaitwa DIAGNOSTIC RADIOGRAPHY
Yaani uwe mtaalamu wa mambo ya ultrasound x ray CT scan n.k
Ila kwa haraka haraka kulingana na ombi lako nenda VETA KIPAWA kasomee ufundi simu LEVEL 1, 2 &3 Kisha piga TV maintenance una malizia na COMPUTER maintenance
Ada ni kama laki 8 kwa vyote (sina uhakika) muda ni kama miezi 8 au 9
Kila lakheri mkuu