Msaada: Kozi ya diploma itakayonipa walau Tsh. 5,000 nikiwa mtaani, ada isizidi Tsh. Milioni 1 na kiwe chuo cha Serikali

Msaada: Kozi ya diploma itakayonipa walau Tsh. 5,000 nikiwa mtaani, ada isizidi Tsh. Milioni 1 na kiwe chuo cha Serikali

Nenda kasomee Ordinary diploma in Railway Transportation ni miaka miwili inatokewa chuo kimoja tu Tanzania kinaitwa TIRTEC kipo Tabora ukimaliza hapo Unaajiriwa Kwa urahisi kabisa Shirika la Reli TRC Tena utakua na option uajiriwe kama station master au wakunakize kama lecturer hapo chuoni Kwa kuwa tayari una degree ya ualimu....Utakuja kunishukuru baadae (SGR PROJECT IS THE ORDER OF THE DAY )
Ada zao zipoje mkuu??! Ukiwa na cheti cha form 4 unaweza kujiunga?? Ufaulu wa masomo gan unahitajika?
 
Back
Top Bottom