Msaada: Kozi ya Health Information System

Msaada: Kozi ya Health Information System

CompaQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
281
Reaction score
134
Habarini Wakuu nilikuwa naomba kuuliza kwenye kujua kozi tajwa hapo juu inayotolewa UDOM zaidi inahusika na nini na mtu anaehitimu hapo anaenda kuwa nani huko kazini?

Pia vipi kuhusu ajira zake, wenye uelewa juu ya hili swala basi aweze kutujuza wapendwa katika elimu shukrani.....!!
 
hio course ni majanga ndugu yangu,usione kila kinachorelate na health kina ajira,kwanza ajira zake umejifunga sehemu moja tu,na inahusika na mifumo ya mawasiliano ya mambo ya afya,ila ajira ni shida nawajua rafk zangu wana miaka mitatu wanasota kitaa,ila kila mtu na bahati yake but ajira zake mpaka kwa mbinde..
 
hio course ni majanga ndugu yangu,usione kila kinachorelate na health kina ajira,kwanza ajira zake umejifunga sehemu moja tu,na inahusika na mifumo ya mawasiliano ya mambo ya afya,ila ajira ni shida nawajua rafk zangu wana miaka mitatu wanasota kitaa,ila kila mtu na bahati yake but ajira zake mpaka kwa mbinde..

Sawa bob nimekuelewa kwa dokezo hilo aisee....!!
 
Sawa bob nimekuelewa kwa dokezo hilo aisee....!!

ila pata ushauri kwa wengine pia,but kama una pass za science kasome geoinformatics,imetulia sana na ajira zipo nyingi na ajira zake saiv ndio zinaamka..so huwez kukosa cha kufanya ukimaliza
 
Xory braza naomba unijuze kuhusu geoinformatics na maeneo ya kazi ,,,naxoma geoinfor!!!tanx
 
Xory braza naomba unijuze kuhusu geoinformatics na maeneo ya kazi ,,,naxoma geoinfor!!!tanx
unasoma geoinfo ya chuo gan?ardhi,udom au bagamoyo?anzia hapo then ndio nitajua nikushaur vp ila kama unasoma bagamoyo utashindwa kufanya vitu vingi compared na wenzsko wa aru na udom
 
Back
Top Bottom