Msaada: Kuacha kadi ya Gari wakati wa kukopa

Msaada: Kuacha kadi ya Gari wakati wa kukopa

Wadau nilikuwa nataka kukopa milioni 3..., namwachia gari akae nayo mpaka nitakomlipa kwa miezi 2 na rate ya 20%

Sasa huyu jamaa kaniambia nikimwachia gari niwache na kadi yake original, na akaniambia kuwa watu wote

wanaokopesha wanafanya hivyo....

Wadau nilikuwa nauliza kuwa ni sawa? na hapo nitakuwa safe side nikiwacha kadi original ya gari?

njoo nikupe hela kwa gari tuuuuu....ni pm.
 
haraka haraka inaponza.....

Benki wala hawachukui muda mradi waverify tra kuwa gari ni lako....

Na muda si tatizo unaweza kuchukua mkopo ukasema utalipa ndani ya miezi 6 lakini ukipata hela ndani ya hiyo miezi miwili unaenda unalipa nz deni unafuta, tena unaweza kuprwa hata mkopo mkubwa zaidi
benki gani mkuu wanakopeshaa?
 
Back
Top Bottom