ni kweli kabisa...wakikubaliana sasa mashtaka ya kazi gani?
ndoa za siku hizi itabidi watu wawekeeane mikataba tokea mwanzo. Mimi kitu fulani na fulani offlimit
Hi Mama POVU!Wee POVU!!!
Sa yeye, si ndo anajichanganya mwenyewe.
Mi nifanyeje, aondoke kwa huyo Mwanajeshi.
By the way hujambo wewe.
ni kweli kabisa...
Tatizo baadhi yetu wako kwenye life ya kufikirika na hisia kwani hawajaingia kwenye ndoa
Ndoa ina principles zake na kama kweli huyo dada anaheshimu hiyo ndoa asingesubiri atiwe mara tatu na nyingine hadi aende hospitali
wanasema "once beaten, twice shy" ==== its a shame really
swadaktaaMTM umenena vyema.
Lakini tusisahau kuwa kama hilo jambo halitaki kweli basi ni mhanga na hawezi kuonyesha hata kuwa hataki
Kumwambia nenda polisi haisaidii wala TAMWA.
La kwanza ninalotaka ajiulize ni kwa nini hataki kutoa tigo? kwanza mwenyewe ajue kwa nini hataki ndio kutapatikana ufumbuzi....or else itakuwa ni kufata mkumbo.
Hi Mama POVU!
Sasa wewe nawe unakimbilia polisi tu hata bila ya kurejea mafundisho na kiapo cha ndoa??? au mwenzangu bado nini?
swadaktaa
Tuje kwenye mada... Hivi inaingia akilini kweli mtu anasimika mzizi hadi unshindwa kutembea siku tatu na usipige kelele kweli?
naomba nieleweke hapa, simpsapoti mjeshi ila nina maswali mengi kuliko majibu!!
Mi bado POVU, inamaana huko kwenye kiapo, mnaapa TIGO au,
ndo maan MAMA POVU...Mi bado POVU, inamaana huko kwenye kiapo, mnaapa TIGO au,
swadaktaa
siku hizi wanaume wengi wanaamini kwamba wanawake wanatoa tIGO, na waume wengi pia wakishahisi mama katoka nje tu, basi wanajua na tIGO (akiba ya uzeeni) nayo tayari, and as inquisitive as we are, unakuta mtu anajaribu... ukikubali shauri yako. na tuwe wakweli, wake za watu wanaoliwa tIGo hawaliwi nyumbani kwani haiswihi
Tuje kwenye mada... Hivi inaingia akilini kweli mtu anasimika mzizi hadi unshindwa kutembea siku tatu na usipige kelele kweli?
naomba nieleweke hapa, simpsapoti mjeshi ila nina maswali mengi kuliko majibu!!
Yaani niache kumpa mume wangu Goti niende kumpa mpita njia??? kweli kuna wanawake wa aina hii? na mume nyumbani hajui kweli? sina hakika na hili MTM
kwani unatoa gOTI wewe?Yaani niache kumpa mume wangu Goti niende kumpa mpita njia??? kweli kuna wanawake wa aina hii? na mume nyumbani hajui kweli? sina hakika na hili MTM
Baelezeye mukulu!!Keren,
mambo? kuna usemi unasema kwamba 'mbwa haibi nyumbani"
Baelezeye mukulu!!
Nyingine wanasema usinye unapolala... halllufu hallufu itakunyima usingizi
Keren,
mambo? kuna usemi unasema kwamba 'mbwa haibi nyumbani"
Inaonesha ni kweli ana matatizo haya..lakini inawezekana yapo ndani sana, yaani yamefikia hatua ambayo imemchosha! Pia ni muhimu aweke mustakabali wa mahusiano yake.. mwanajeshi ni nani na miezi 4 ni nani??
Tunapotenga muda wetu kutoa ushauri, ni vizuri tukaambiana ukweli
Kaizer, nimeona jina langu, japokuwa quatotation sio yangu......:confused2:!!!!
mzima wewe lakini?
Naona MOD kaziunga hizi threads vibaya..ishapoteza maana yote. Kuna dada hapa alikuwa anaomba msaada wa ushauri kutokana na anachofanyiwa mumewe.
Sasa heading ya thread ilivyo sasa ni tofauti na maelezo yake ya awali. Kama ataweza kurudisha yale maelezo ya yule dada itakuwa ni msaada kwake..Ila kwasasa haina ladha tena.
I just saw ur name ama ulikuwa mno mawazoni jamani.......hebu twen zetu PM