Yaani niache kumpa mume wangu Goti niende kumpa mpita njia??? kweli kuna wanawake wa aina hii? na mume nyumbani hajui kweli? sina hakika na hili MTM
Daah, mpendwa umeleta changamoto hii ndoa inaonekana ina tatizo na tigo ni part tu , huyu dada kuna kitu anakificha . Nimeona hapo juu kumbe alishawahi kuzungumzia tigo . Hapa tumshauri juu ya kupambana na hilo tatizo alilosema. Kama ni kweli au sio kweli basi .Pia nashauri wanajamvi tuwe makini na mambo tunayochangia humu??
Leo unatuambia hivi
Wakati posts za nyuma huko ulikuwa ukiyaongea haya...
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=1683192
Na nyingine hii
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=1620495
Mtatufanya Mungu atuhukumu bure jamani.. Unasema upo kwenye ndoa,...hapo kwenye red umesema upo kwenye mahusiano kwa miezi 4..
Nashindwa kuelewa upo kwenye mahusiano ya miezi 4 na nani?
Na hiyo ni miradi gani??
Tunajua mateso unayopata, lakini tusidanganyane hapa jamvini kama watoto wadogo. leo unasema hiki, kesho tena unasema hiki. Sasa unataka kutuambia nini hapa?? wewe ni mwaminifu kwenye ndoa yako.??
Je hiyo ni adhabu mume wako aliyokupa ?? hakuna anayejua..ila tafuta muda wa kupumzika wewe mwenyewe..vinginevyo utuambie ukweli hapa. Vinginevyo mnatukwaza sana...
Asante..
Gaga unamaanisha nini hapa? Inamaana na ww unatoa kwa mmeo?
Gaga unamaanisha nini hapa? Inamaana na ww unatoa kwa mmeo?
Hapana sijawahi ila nilikuwa namjibu mtm alisema wengine wanatoa nje waume zao hawawapi mume akisikia una bwana anajua lazima unatoa kwa hiyo na yeye anataka. ndio nikauliza kuna wanawake wanatoa nje ndani hawatoi? kama umemua kuliwa ndogo si bora afaidi yeye kama kuna kufaidi
kwani unatoa gOTI wewe?
Kwani si tunaongelea kutoa nje na kutompa mume? kwa nini asipewe mume apewe hawara? ngumu. kujibu swali lako sijatoa ila mbeleni huko nikifika 50 yrs taliangalia hili swala maana kila mtu tigotigo let me do microphone test, kwani sh ngapi bana? tarudi na majibu jamvini kama tuko hai
watu mna memory,juu ya yote huyu dada ana matatizo katika mahusiano yake,ila humu ndani sielewi kwa nini anaeleza vitu tofauti tofauti,nina amini mojawapo ni hilo la tigoPia nashauri wanajamvi tuwe makini na mambo tunayochangia humu??
Leo unatuambia hivi
Wakati posts za nyuma huko ulikuwa ukiyaongea haya...
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=1683192
Na nyingine hii
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=1620495
Mtatufanya Mungu atuhukumu bure jamani.. Unasema upo kwenye ndoa,...hapo kwenye red umesema upo kwenye mahusiano kwa miezi 4..
Nashindwa kuelewa upo kwenye mahusiano ya miezi 4 na nani?
Na hiyo ni miradi gani??
Tunajua mateso unayopata, lakini tusidanganyane hapa jamvini kama watoto wadogo. leo unasema hiki, kesho tena unasema hiki. Sasa unataka kutuambia nini hapa?? wewe ni mwaminifu kwenye ndoa yako.??
Je hiyo ni adhabu mume wako aliyokupa ?? hakuna anayejua..ila tafuta muda wa kupumzika wewe mwenyewe..vinginevyo utuambie ukweli hapa. Vinginevyo mnatukwaza sana...
Asante..
Leo umekuwaje wewe unatoa goti?? Lakini poa kama ni kwa mumeo tu. Ila umeniacha hoi kweli
yaani siku hizi wantu wanaleta post ili wagongewe thanks...na kupewa pole nyingi.....wakati ni uongo mtu....huu ni upuuzi wa hali ya juu kabisa ...watu wanapoteza mda wao kujadili mambo ambayo si ya kweli......halafu unafikiri watu humu jamvini tunasahau.....
Nikisema nianike kila kitu hapa jamvi ni dogo, nawashukuru sana wote mlionipa ushauri na wengine kunitukana na kuniita MALAYA, hadi nimejianika hapa juwen kuna tatizo. Hamumjui mume wangu yukoje na y niliingia huko kwenye uhusiano nikiwa ndani ya ndoa. Hakuna ajuaye alinifanya nini hadi nikatoka nje. Alichokifanya hakielezeki. Na huko kutiwa mara 3 sio kila siku. Kuna walioshangaa nimwambie dr nishindwe kumwambia ndugu , hospital ningepataje msaada bila kusema ukweli??? Mmenishambulia sana ila nimepata pa kuanzia. Hata mliofuta pole kwangu nawashukuru pia . Mimi si malaika nna mapungufu pia. Niliowakwaza kwa kuomba ushauri jf mnisamehe.
Halafu wewe mu-sir mbona hukutokea kwa thread yangu na mashukrani yote yale niliyokumwagia
Nikisema nianike kila kitu hapa jamvi ni dogo, nawashukuru sana wote mlionipa ushauri na wengine kunitukana na kuniita MALAYA, hadi nimejianika hapa juwen kuna tatizo. Hamumjui mume wangu yukoje na y niliingia huko kwenye uhusiano nikiwa ndani ya ndoa. Hakuna ajuaye alinifanya nini hadi nikatoka nje. Alichokifanya hakielezeki. Na huko kutiwa mara 3 sio kila siku. Kuna walioshangaa nimwambie dr nishindwe kumwambia ndugu , hospital ningepataje msaada bila kusema ukweli??? Mmenishambulia sana ila nimepata pa kuanzia. Hata mliofuta pole kwangu nawashukuru pia . Mimi si malaika nna mapungufu pia. Niliowakwaza kwa kuomba ushauri jf mnisamehe.
Natumaini mu wazima week end hii,mi naomba mjadili hili swala la mapenzi kinyume cha maumbile(tigo)katika ndoa kwani katika mijadala mingi jambo hili hujadiliwa haswa linapokuwa nje ya ndoa lakini kuna watu walioko kwenye ndoa ambako jambo hili hutokea sana lakini halijadiliwi kwani watu huona kama vile si mahali pake vile!lakini ukweli ni kwamba lipo na wenzetu wazungu hulijadili waziwazi huku baadhi yao wakisema kufurahishwa sana na mchanganyiko wa tigo na ngono mbabadala kwenye ndoa zao na hili eti hudumisha penzi.Ebu wana jamii tulijadili hili kwa wenye maoni zaidi.Mi bado sijaoa hivyo naondoa swala la conflict of interest.