chukua ushauri wa Al Zagawi, usipoangalia utalizwa vibaya.......kwanza china nguo zao ni ver low quality my dear......anyway inategemea na soko unalolenga.........ila ni vema ukaenda mwenyewe......siyo ishu sana kwenda china..........but, ukitaka nguo za ukweli...Italy, Thailand........ndo angalau angalau
funga safari uende mkuu...hao Alibaba ni waarabu si watu wa kuaminika sana, wana uswahili mwingi tu...wachina wenyewe wa mitandaoni ndiyo kabisa...
...utalizwa mkuu halafu ujute na kama mtaji wako ni mkopo wa bank itakuwa hasara mara mbili....pesa imekwenda na deni la benki unadaiwa ambalo itabidi ulipe kwa njia mbadala.
Online transactions kwa uzofu wangu unaweza kufanya na wazungu au wajapan...wapuuzi wengine kama waarabu, wahindi(nafuu kidogo wahindi), na wachina, si wa kuaminika!
...Wabongo ndiyo kabisaa...weezi watupu wamejipanga kuanzia Asia mpaka Ulaya...hao, waogope kama ukoma!
Mkuu umenena kwa hasira na uchungu sana, vipi ulisha wahi kulizwa na hao jamaa nini?funga safari uende mkuu...hao Alibaba ni waarabu si watu wa kuaminika sana, wana uswahili mwingi tu...wachina wenyewe wa mitandaoni ndiyo kabisa...
...utalizwa mkuu halafu ujute na kama mtaji wako ni mkopo wa bank itakuwa hasara mara mbili....pesa imekwenda na deni la benki unadaiwa ambalo itabidi ulipe kwa njia mbadala.
Online transactions kwa uzofu wangu unaweza kufanya na wazungu au wajapan...wapuuzi wengine kama waarabu, wahindi(nafuu kidogo wahindi), na wachina, si wa kuaminika!
...Wabongo ndiyo kabisaa...weezi watupu wamejipanga kuanzia Asia mpaka Ulaya...hao, waogope kama ukoma!
Nina mpango wa kuagiza nguo za wanawake toka China online kupitia ALIBABA mwezi november,Ninataka kuanza kuagiza pieces 200 kwanza , Ninaomba mnipe uzoefu wenu na ushauri kwa ujumla juu ya mambo yafuatayo
1.Gharama za kusafirisha 200 pieces
2.Clearing agencies wanaoaminika kama nikitumia meli
3. Kodi ya TRA inakuwaje
4.Ninaweza kupata faida nikianza na pieces 200 ? au mpaka niagize container zima?
5. Je nikitumia DHL nitapata faida?
Ninaomba michango yenu ,mawazo na ushauri nashukuru
So jameni, kuna mtu mwenye info zaidi za pay-pal? Jinsi mtu wa chini hapa bongo anavyoweza kufungua account nao!?
Kama mtu hajawahi tumia Alibaba si vizuri kufanya upotoshaji humu, wabongo kwa kupotosha kwa kusikiliza story za kwenye vijiwe vya kahawa hatujambo,
Nisha agiza kupitia Alibaba mara 5 na sijawahi tapeliwa, Ila huku mtaani ni fullu uzushi