SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Nawasalimu wanasheria wote wa jukwaa hili.
Mimi nataka kuandika wosia wangu. Nauliza, je, wosia unaandikwa kwa msaada wa wakili/mwanasheria au unajiandikia
mwenyewe ukiwa chumbani mwako? Na je, ipo format/template maalum ya kisheria ya kuandika wosia au mtu unajiandikia tu kulingana na mawazo yako kichwani?
Naomba sana kusaidiwa kwa jambo hili. Mimi naishi Moshi.
Asanteni
Mimi nataka kuandika wosia wangu. Nauliza, je, wosia unaandikwa kwa msaada wa wakili/mwanasheria au unajiandikia
mwenyewe ukiwa chumbani mwako? Na je, ipo format/template maalum ya kisheria ya kuandika wosia au mtu unajiandikia tu kulingana na mawazo yako kichwani?
Naomba sana kusaidiwa kwa jambo hili. Mimi naishi Moshi.
Asanteni