Msaada kuangalia Copa America


Kabisa mkuu umeongea point hapo! Nikweli Tatizo muda..
 
Kabisa mkuu umeongea point hapo! Nikweli Tatizo muda..
Shida ni mida yao tu hakuna kingine, pili wazungu wa Ulaya hawataki kufunikwa na Copa America ndo maana kuzionesha mipira yao ni taabu sana kuzipata channel zao kwa urahisi ingawa zipo zinazoonesha michuano ya Copa america.

Copa America mipira yao ni wa shule na wa kipaji kwa saana! Mpaka sasa imani yangu kwa upande wa beki bora hadi leo ni Roberto Carlos katika historia, na mafundi wa mpira hakuna wengine zaidi ya Pele na Ronaldinho, ukizitazama mipira yao huchoki....

Nahusudu sana Copa America!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…