DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Hahahaha! Watu wanakazania Europe na Kombe la Dunia, kuna michuano mitamu kuliko tunavyojua duniani, Copa America ni mojawapo...mi nilishawahi kushuhudia michuano yao miaka ya nyuma kidogo, ya mwaka huu sijabahatika kuziangalia zaidi ya kwenye youtube tu...nashangaa tunapata shida kuziangalia...ingawa shida ni mida yao kwetu huku!!
Kabisa mkuu umeongea point hapo! Nikweli Tatizo muda..