Msaada kuanzisha biashara morogoro......

Ms Tz

Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
18
Reaction score
2
Habari za jioni wana jm,naomba msaada kwa mtu aliye morogoro mjini, biashara gani au mradi gani unafaa kwa mtaji wa sh milion 1 na nusu,tafadhali saidia mawazo.
 
Habari za jioni wana jm,naomba msaada kwa mtu aliye morogoro mjini, biashara gani au mradi gani unafaa kwa mtaji wa sh milion 1 na nusu,tafadhali saidia mawazo.
Chipsi kuku
 
Nunua boda boda. Inakuingizia 7000 kwa cku 210000 kwa mwezi.kama mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…