Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri unaenda TRA na Mkataba wa mauziano, Kadi ya gari pamoja na TIN yako. Gharama za kubadilisha ni kidogo sana!
Nafikiri unaenda TRA na Mkataba wa mauziano, Kadi ya gari pamoja na TIN yako. Gharama za kubadilisha ni kidogo sana!
Ndiyo! Mkataba lazima upitie kwa wakili ( mwanasheria) au Hakimu (kwa sisi tunaokaa mikoani ambayo haina mawakili) na siyo serikali ya mtaa. Mimi mwenyewe nimefanya transfer mwezi March, 2014.Huu mkataba wa mauziano lazima upitie kwa wakili( wanasheria) au hata serikali za mtaa basi??
Ndiyo! Mkataba lazima upitie kwa wakili ( mwanasheria) au Hakimu (kwa sisi tunaokaa mikoani ambayo haina mawakili) na siyo serikali ya mtaa. Mimi mwenyewe nimefanya transfer mwezi March, 2014.
Mimi nilimpa bia nne na shilingi elfu 20 cash kwani alinisainia bar! Hata hivyo hakuniomba bali mimi ndiye niliyeridhika kutoa.Gharama za hawa mawakili au Hakimu ni kiasi gani? Jamaa aliyeniuzia gari kwa sasa yuko mwanza na mimi niko Dar sasa kwa hakimu au wakili ni lazima tuwepo wote??
Na barua toka kwa mwanasheria yenye muhuri wake kabisa.
Hapana sio lazima lowyer.
Makubaliano yaabdikwe kwa maandishi, wakiwemo mashahidi wawili, japo ya kawaida ila iwe professional uwandikaji tu wa mauziano, achukue card ya gari, aende nayo tra, pale kuna form I think Kama sikosei anajaza au tra watamjazia, atapigiwa hesabu pale pale,pengine laki moja tu kufanya hio process Inategemea na thamani ya gari.
Gamba jipya siku hio hio unapewa au next day.