Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukmalza firm 6 au diploma?Ktk hatua za kufanya malipo ya maombia ya Mkopo HELSB kw M - Pesa,
kumbukumbu ya Malipo ni ipi?
Nimeambiwa ni 1 but kwa nn inagoma?
Au kuna shida gani?
Msaada tafadhali?
kama ulmalza form 6 njia hii hapaKtk hatua za kufanya malipo ya maombia ya Mkopo HELSB kw M - Pesa,
kumbukumbu ya Malipo ni ipi?
Nimeambiwa ni 1 but kwa nn inagoma?
Au kuna shida gani?
Msaada tafadhali?
mbona inagoma,
tafadhali nisaidie formati ya kuiandika
au ni hiv
S2029/0009 - 2012
au?
Mkuu acha papara,kila kitu kimeelezwa jinsi ya kuandika. Soma!
namba ya shule.namba yako.mwaka uliomaliza
kama ulmalza form 6 njia hii hapa
![]()
kumbuka ndoo nimeanza kufanya malipo kwa M Pesa, ukifuata zile hatua yaan
*150*00# ok
4. Lip kwa m pesa ok
3.chagua kwenye orodha ok
8.huduma za elimu ok
2.HESLB ok
Weka namba ya kumbukumbu ya malipo (ndio ipi sasa ,au?
mbona inagoma,
tafadhali nisaidie formati ya kuiandika
au ni hiv
S2029/0009 - 2012
au?
mkuu lets assume namba ya shule ni S0112, namba yako ya mtihani ni 0045, na umemaliza 2015 hivyo namba yako utaiandika hivi:
S0112.0045.2005
Umeelewa sasa?
Nimeshindwa kuelewa hiyo ya kwako mana umeweka namba tu bila kusema kipi ni kipi ila i can assume ni: S2029.0009.2012
Kwa hiyo 2005 inabadilika na kuwa 2015??
Hiki kizazi kina shida kwa kweli.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
mkuu lets assume namba ya shule ni S0112, namba yako ya mtihani ni 0045, na umemaliza 2015 hivyo namba yako utaiandika hivi:
S0112.0045.2015
Umeelewa sasa?
Nimeshindwa kuelewa hiyo ya kwako mana umeweka namba tu bila kusema kipi ni kipi ila i can assume ni: S2029.0009.2012
ahsante Mkuu ,
imekubali lakn nimeecounter shida nyingine ya link ya Online Loan Application (OLAS) Kutofunguka,
kuna shida gani wadau?
ahsante Mkuu ,
imekubali lakn nimeecounter shida nyingine ya link ya Online Loan Application (OLAS) Kutofunguka,
kuna shida gani wadau?