Naomba kufahamu sababu za simu yangu inapopigwa na mtu mwingine inasema inatumika ilhali simu yangu ipo iddle haitumiki ipo full charge.... Natakiwa kufanyaje iwe inapatikana kila ninapopigiwa simu??
Naomba kufahamu sababu za simu yangu inapopigwa na mtu mwingine inasema inatumika ilhali simu yangu ipo iddle haitumiki ipo full charge.... Natakiwa kufanyaje iwe inapatikana kila ninapopigiwa simu??