Msaada: Kufanya vitafunwa vikae muda mrefu

daisyvicky

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2012
Posts
343
Reaction score
198
Helow wakuu
Msaada,,nataka kujua namna ya kufanya vitafunwa vikae bila kuharibika kwa muda mrefu,vitafunwa kama maandazi ,,mfano kama yanayouzwa supermarket,,yanawekwa nini ili yasiharibike
Aksnte in advance
 
Khaa watak maandaz yakae siku ngapi labda
 
Ngoja nimuulize mama maana nikiwa high school Tabora alikua ananitengeneza vimaandazi flani shelf life yake hadi mwezi

Nitarudi
 
Ngoja nimuulize mama maana nikiwa high school Tabora alikua ananitengeneza vimaandazi flani shelf life yake hadi mwezi

Nitarudi
Mkuu nakusubiri kwa hamu ulete jibu
 
Nyumbani hua tunatengeneza maandazi na yanadumu hadi wiki (wavivu kula)... Sijui kam wiki mbili yatafika...
Unakandia mafuta ya moto.
Mafuta ya moto yana kazi ya kufanya andazi lisiwe na hewa ndani baada ya hapo unaweka mafuta vijiko vitatu vya barid kwa kilo moja kijiko ni cha chakula hayo ya baridi ndio yanafanya andazi lisiwe kavu sana
 
Helow wakuu
Msaada,,nataka kujua namna ya kufanya vitafunwa vikae bila kuharibika kwa muda mrefu,vitafunwa kama maandazi ,,mfano kama yanayouzwa supermarket,,yanawekwa nini ili yasiharibike
Aksnte in advance
Mkuu hayo maandazi ya supermarket yanakaa hata mwezi na hayaharibiki. Yanatengenezwa viwandani (sio lazima iwe kiwanda kikubwa) kwa kutwanga unga wa ngano sana na kwa muda mrefu.

Ngano inapigwa mpaka inalainika sana. Kuna ndugu yangu amesomea hii kazi na anaifanya vizuri, unakula andazi lainiii
 
Shukran mkuu,,nawish nikae anipe tuition ya nguvu,,kuna project nataka kuanza kuifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…