Msaada kUHAMA kituo cha kazi

Msaada kUHAMA kituo cha kazi

Elly Andrew

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
411
Reaction score
175
Tafadhalini naomba kujuzwa mambo muhimu ya kufanya ktk kutekeleza uhamisho wa mwalimu(yaani ni vitu gan anapaswa kuwa navyo na vitu gan vya kufanya mf.barua ktk kudai ruhusa ya kuhama bila kubadilishana na mtu)
 
Aandika barua ya kuomba nafac kwnd halmashaur unayotaka kuhamia ipitie kwa mkuu wk wa shule, deo+ded ambatanisha id ya kazi..., ukshajbiwa uandike barua ya kuomba uhamisho ipitie kwa mkuu,deo na ded then wakuandikie kibali kipitie kwa katb tawala mkoa kwnd tamisemi.
 
Back
Top Bottom